sab
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 5,723
- 4,286
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BOss umeongea vice versa.Tundu ni. Uwazi ambao unaonesha na upande wa pili lkn tobo haionwshi upande wa pili,
Nipo tyr kusahihishwa
Nadhani alikua na 2,000 Ila alifanya deal na mlinzi wa kwanza ambapo alimuomba asilipe ile 2,000 ya kuingilia mpaka atakapotoka kwa mjomba wake wa 3. Juma Alikua mwaminifu akarudi kumlipa mlinzi wa mjomba wa kwanza ile ya kuingiliaJuma alitaka kuoa akaona si mbaya aende kwa wajomba zake wamchangie hela ili apate jiko. Maana korona hii imetoa funzo kwa wale wala kwa mama ntilie.
Sasa Juma ana wajomba 3 na akawapitia wote. Wajomba zake wote kila mmoja alimuahidi atamuongezea kiasi cha fedha kama kile atakachokipata yeye. Kwa mfano akienda kwa mjomba ake na elfu 20 basi ataongezewa kiasai kama hicho.
Juma akaenda kuchakarika akapata kiasi cha pesa akaenda kwa wajomba zake kama walivyomuahidi.
Ili kwa kila mjomba ake mmoja kuna mlinzi geteni ili uingie ndanni inabidi ulipe shilingi 2000 na wakati wa kutoka pia inabidi ulipe tena sh 2000.
Kwa mjomba 1
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Mjomba w 2
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Kwa mjomba 3
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea.
Juma hakubakiwa hata na shilingi baada ya kutoka kwa mjomba wake wa 3. Je Juma alitoka na shilingi ngapi nyumbani?
Juma aliwalipa wote kila mda wa kuingia na toka. Chemsha mbongo hiyo vizuriNadhani alikua na 2,000 Ila alifanya deal na mlinzi wa kwanza ambapo alimuomba asilipe ile 2,000 ya kuingilia mpaka atakapotoka kwa mjomba wake wa 3. Juma Alikua mwaminifu akarudi kumlipa mlinzi wa mjomba wa kwanza ile ya kuingilia
MobileHivi M ina maanisha nini kwenye neno M-Pesa....[emoji23]
JumapiliMwalimu alisema,'Kama jana ingekuwa kesho,basi leo ingekuwa Ijumaa'.
SWALI:Mwalimu aliongea kauli hii katika siku ipi ya wiki?
Analia coz Anakutana na dunia iliyojaa shida, wakati waliopo wanamcheka kwa kuwa amekuja ila siku ya kuondoka wale waliomcheka watalia, halafu yeye nae atawacheka kwa kuwa anawaacha na shidazao
Wataalam wa namba vipi mbona mnatuanguaha. Wazee wa Schrondinger, fourier series, time travel, plasma mupo wapiJuma alitaka kuoa akaona si mbaya aende kwa wajomba zake wamchangie hela ili apate jiko. Maana korona hii imetoa funzo kwa wale wala kwa mama ntilie.
Sasa Juma ana wajomba 3 na akawapitia wote. Wajomba zake wote kila mmoja alimuahidi atamuongezea kiasi cha fedha kama kile atakachokipata yeye. Kwa mfano akienda kwa mjomba ake na elfu 20 basi ataongezewa kiasai kama hicho.
Juma akaenda kuchakarika akapata kiasi cha pesa akaenda kwa wajomba zake kama walivyomuahidi.
Ili kwa kila mjomba ake mmoja kuna mlinzi geteni ili uingie ndanni inabidi ulipe shilingi 2000 na wakati wa kutoka pia inabidi ulipe tena sh 2000.
Kwa mjomba 1
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Mjomba w 2
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Kwa mjomba 3
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea.
Juma hakubakiwa hata na shilingi baada ya kutoka kwa mjomba wake wa 3. Je Juma alitoka na shilingi ngapi nyumbani?
Kitobo kinakuwa mbele alafu tundu nyumaTofauti kati ya tundu na tobo
Tofauti ipo
Finish ina herufi sita
Complete ina herufi nane
[emoji16][emoji16]evonik,
Sio kila mlango ulio wazi lazima uingie
Sio lazima rice cooker upikie wali peke ake,kuna sehemu niliona wanpikia hadi kande
Binadamu =Bin Adam