Tupia maswali fikirishi yenye kuumiza akili

Tupia maswali fikirishi yenye kuumiza akili

Andika swali au statement yenye kufikirisha akili.

Mimi naanza:

Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?

Twende kazi

Sent from Quarantine
Hivi sifuri ni mduara ama ni mzunguko?
Hivi mstatili ni pembe au ni mraba?
Kwanini kinyesi hakichomi lakini ukikikanyaga lazima uchuchumie?

Jr[emoji769]
 
Juma alitaka kuoa akaona si mbaya aende kwa wajomba zake wamchangie hela ili apate jiko. Maana korona hii imetoa funzo kwa wale wala kwa mama ntilie.
Sasa Juma ana wajomba 3 na akawapitia wote. Wajomba zake wote kila mmoja alimuahidi atamuongezea kiasi cha fedha kama kile atakachokipata yeye. Kwa mfano akienda kwa mjomba ake na elfu 20 basi ataongezewa kiasai kama hicho.
Juma akaenda kuchakarika akapata kiasi cha pesa akaenda kwa wajomba zake kama walivyomuahidi.
Ili kwa kila mjomba ake mmoja kuna mlinzi geteni ili uingie ndanni inabidi ulipe shilingi 2000 na wakati wa kutoka pia inabidi ulipe tena sh 2000.
Kwa mjomba 1
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Mjomba w 2
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Kwa mjomba 3
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea.
Juma hakubakiwa hata na shilingi baada ya kutoka kwa mjomba wake wa 3. Je Juma alitoka na shilingi ngapi nyumbani?
5250
Juma ni boya
 
5250
Juma ni boya
👏👏👏👏👋👋👋👋👍
Hongera bosi maana wengi naona wamelikwepa
Juma alitoka kwao na tsh 5250
Kwa mjomba 1
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 3250
Mjomba kamuongeza ths 3250
Jumla tsh 6500
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 4500
Kwa mjomba 2
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 2500
Mjomba kamuongeza ths 2500
Jumla tsh 5000
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 3000
Kwa mjomba 3
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 1000
Mjomba kamuongeza ths 1000
Jumla tsh 2000
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 0
Kuna formula yeyote umetumia? Kama ipo iweke hapa
 
👏👏👏👏👋👋👋👋👍
Hongera bosi maana wengi naona wamelikwepa
Juma alitoka kwao na tsh 5250
Kwa mjomba 1
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 3250
Mjomba kamuongeza ths 3250
Jumla tsh 6500
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 4500
Kwa mjomba 2
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 2500
Mjomba kamuongeza ths 2500
Jumla tsh 5000
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 3000
Kwa mjomba 3
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 1000
Mjomba kamuongeza ths 1000
Jumla tsh 2000
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 0
Kuna formula yeyote umetumia? Kama ipo iweke hapa
anzia chini kurudi juu, kwenye kutoa weka jumlisha, kwenye kuzidisha gawanya
+2000 (getini3 exit)
2000/2=1000 (mjomba3)
1000+2000=3000 (geti3 entry)
3000+2000=5000(geti2 exit)
5000/2=2500 (mjomba2)
2500+2000=4500 (geti2 entry)
4500+2000=(geti1 exit)
6500/2=3250 (mjomba1)
3250+2000(geti1 entry)

5250
Njia ndefu labla kuna nyepesi
 
69F2159C-9A7D-48F0-BEFA-6A957E9934E1.jpeg
 
Andika swali au statement yenye kufikirisha akili.

Mimi naanza:

Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?

Twende kazi

Sent from Quarantine
Masikio boss
 
Yeye ndie kaviweka lazima avijue,

[emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Keep on tryin swirly [emoji1]
The poison was in the cup of victim but both pills were poisonless
Poison was in victims glass and not in the pills (pills were harmless)
Hugs [emoji8]
Siamini mimi ndio kilaza pekee humu ndani kila swali nakosa,
[emoji24][emoji24][emoji24]

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom