Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,740
Ukioa Slay Queen,Difference na various kuna utofauti?
utajua kwa haraka sana utofauti wakua completed na kua finished
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukioa Slay Queen,Difference na various kuna utofauti?
Mkuu hapa umemaliza, hili swali sidhani kama litaulizwa tena 🙂
Hivi sifuri ni mduara ama ni mzunguko?Andika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
5250Juma alitaka kuoa akaona si mbaya aende kwa wajomba zake wamchangie hela ili apate jiko. Maana korona hii imetoa funzo kwa wale wala kwa mama ntilie.
Sasa Juma ana wajomba 3 na akawapitia wote. Wajomba zake wote kila mmoja alimuahidi atamuongezea kiasi cha fedha kama kile atakachokipata yeye. Kwa mfano akienda kwa mjomba ake na elfu 20 basi ataongezewa kiasai kama hicho.
Juma akaenda kuchakarika akapata kiasi cha pesa akaenda kwa wajomba zake kama walivyomuahidi.
Ili kwa kila mjomba ake mmoja kuna mlinzi geteni ili uingie ndanni inabidi ulipe shilingi 2000 na wakati wa kutoka pia inabidi ulipe tena sh 2000.
Kwa mjomba 1
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Mjomba w 2
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea
Kwa mjomba 3
Kalipa 2000 getini kaingia ndani, mjomba ake akamuongeza kiasi kama alichoingia nacho ndani. Akatoka na kulipa 2000 getini ya kutokea.
Juma hakubakiwa hata na shilingi baada ya kutoka kwa mjomba wake wa 3. Je Juma alitoka na shilingi ngapi nyumbani?
👏👏👏👏👋👋👋👋👍5250
Juma ni boya
anzia chini kurudi juu, kwenye kutoa weka jumlisha, kwenye kuzidisha gawanya👏👏👏👏👋👋👋👋👍
Hongera bosi maana wengi naona wamelikwepa
Juma alitoka kwao na tsh 5250
Kwa mjomba 1
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 3250
Mjomba kamuongeza ths 3250
Jumla tsh 6500
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 4500
Kwa mjomba 2
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 2500
Mjomba kamuongeza ths 2500
Jumla tsh 5000
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 3000
Kwa mjomba 3
Katoa getini tsh 2000
Kabakiwa na tsh 1000
Mjomba kamuongeza ths 1000
Jumla tsh 2000
Katoka kalipa getini tsh 2000
Salio 0
Kuna formula yeyote umetumia? Kama ipo iweke hapa
Hatma ni nini na Baadae ni nini?Destiny ni Hatma,Future ni Baadae
Alijinyoa mwenyewe.Kijiji kimoja kilikuwa na wanaume tu. Na wote walinyolewa na kinyozi mmoja ambaya ni mwanaume. Je, kinyozi alinyolewa na Nani?
Kwangu ni mwaka wa tatu natafuta jibu.
Yeye ndie kaviweka lazima avijue,
Keep on tryin swirly 😄Yeye ndie kaviweka lazima avijue,
[emoji1322][emoji1322][emoji1322]
The poison was in the cup of victim but both pills were poisonless
Poison was in victims glass and not in the pills (pills were harmless)
Hugs 😘The poison was in the cup of victim but both pills were poisonless
Alinyolewa na kinyozi mwanaumeAlijinyoa mwenyewe.
Masikio bossAndika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
Tofauti ipo kubwa sana Rudi shule form 2 pambania kufika chuo kasome language phonology itakujibu vizuri sana mkuu.Difference na various kuna utofauti?
Yeye ndie kaviweka lazima avijue,
[emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Keep on tryin swirly [emoji1]
The poison was in the cup of victim but both pills were poisonless
Poison was in victims glass and not in the pills (pills were harmless)
Siamini mimi ndio kilaza pekee humu ndani kila swali nakosa,Hugs [emoji8]
Two sides kwenye shilingi 1Kuna tofauti gani kati ya Tabia nzuri na Heshima?