Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Alikua hapumui kama waoKuhusu mtu wa kwanza KUFA.... waliokuwepo walikuwa na Ushahidi gani kwamba Jamaa yao amekufa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua hapumui kama waoKuhusu mtu wa kwanza KUFA.... waliokuwepo walikuwa na Ushahidi gani kwamba Jamaa yao amekufa?
KudutwaNi mti gani ambao jina lake halianziwi na herufu M ?
Nb: Kwa kiswahili
KaribuuuuNapenda sana nyuzi kama hizi. Ngoja nitafute swali.
KivumbasiNi mti gani ambao jina lake halianziwi na herufu M ?
Nb: Kwa kiswahili
Alikua hapumui kama wao
Kivumbasi ni mti?Kivumbasi
AsanteeeeeKaribuuuu
Moja ni kisifa nyingine ni kiambishi
Mbona mi kuna mkaka aliniambia siku moja moja inatokea huwa mnazikalia bahati mbayaKwann hata sku 1 huwez kalia pumbu hata kwa bahat mbaya
Hili ina ni la kiswahili au la kiluga?Kudutwa
Ni kiswahiliHili ina ni la kiswahili au la kiluga?
Kama unaweza kuipata picha naomba uitupie hapa, sijiwahi hata kulisikia hili jina.Ni kiswahili
Kule juu kuna kitu gani ambacho kinafanya reflection itokee,yaani miale inagonga wapi na kurudi kwetu wakati huko juu kuko wazi mkuu ?Robo ya dunia ni nchi kavu kwingne kote ni maji
Tumia tunguli 😂😂Kichwa kinauma
Jr[emoji769]
Mkuu Kama nimesema ukweli, huoni sitakua muongo tena nitakua ni mkweli n wakweli huwa hawadanganyi?Kwa mara ya kwanza ndio leo umesema ukweli,
Clap clap
Binadamu ni U'bin,sisi wote ni ubin wa babu mzee Adam
Alikua anatafta stor tuu huyoMbona mi kuna mkaka aliniambia siku moja moja inatokea huwa mnazikalia bahati mbaya