Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Eeeenh [emoji15][emoji849]Alinyolewa na kinyozi mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeenh [emoji15][emoji849]Alinyolewa na kinyozi mwanaume
Unaweza kueleze maana ya kutohoa?Zinapo sawa ila finish ilitoholewa Kwny neno fish.
Kwa mara ya kwanza ndio leo umesema ukweli,Mimi ni muongo na sijawahi sema ukweli,
Je hivyo nilivyokujulisha kuwa mimi ni muongo, nimekwambia ukweli au nimekudanganya?
Watu wengi ni politicians but Binadamu ni mimi na wewe.
Kama Mungu ni mweza wa yote, ubaya umetoka wapi?Andika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
Mpaka uambiwe mkuuHiv kila kwenye tobo ni lazima uingize?
Robo ya dunia ni nchi kavu kwingne kote ni majiMbona hata sehemu ambazo hazina bahari na mito juu tunaliona wingu la bluu ?
Hiyoo reflection inafanyikaje mpaka sehemu ambazo hakuna hayo mamito na mabahari ionekane ?
Hakuna tofauti ila neno jingne linatumika na wahuniTofauti kati ya tundu na tobo
Mungu alipoumba alikaa wapi? Hapakuwa na chochoteAndika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
Ali kiba mbishi sana ila Diamond ana u genius kidogoDiamond na Ali kiba nani msanii bora Tz?
CR7 na Leo Messi nani mchezaji mkali kwa kizazi chetu?
Daima hayo maswali mwafaka huwaga haupatikani.
Giza haliletwi ila ni kutokuwepo kwa mwanga na halina sourceTukitaka kutoa giza tunawasha taa kuleta mwanga...je tukitaka kutoa mwanga tunaeza vipi kuwasha giza?!
futi sita ni urefu wa jenezaHivi kwann tukifa,tunazikwa futi sita urefu wa kaburi kwenda chini,kwann isiwe futi saba au tano kwann sita?
Nop usichukulie that serious. They are just brain teasers swirly...Siamini mimi ndio kilaza pekee humu ndani kila swali nakosa,
[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3059]Nop usichukulie that serious. They are just brain teasers swirly...
So maji yana reflactije angani wakati hayana nishati?Iyo ni reflection ya maji(Bahari,maziwa na mabwawa)
Katika vitu sipendi maishani mwangu dharau....Kama haujui mm ni mkaguzi mkuu wa kiswahili Tanzania(MKITA)....So najua nachosema sababu am professional kwenye hii Tasnia ya unyumburufu.Unaweza kueleze maana ya kutohoa?
Bora ata ungesema limewekewa Affixies kutoka kwenye fish kutohoa duh!