Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,740
Unaweka blanket jeusi kwenye hiyo source ya mwanga au unatumia kioo kuurudisha mwanga ulipotoka 👏👏👏Giza haliletwi ila ni kutokuwepo kwa mwanga na halina source
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweka blanket jeusi kwenye hiyo source ya mwanga au unatumia kioo kuurudisha mwanga ulipotoka 👏👏👏Giza haliletwi ila ni kutokuwepo kwa mwanga na halina source
Hapanaaaaa,Ulipatapo kuskia kile kisa cha Mchezaji wa Tottenham ambae moyo wake ulistop kwa siku 10+ na bado alikuwa hai?
Kumbe ulijua ni nini?Kivumbasi ni mti?
Mpaka uambiwe mkuu
kwenye juaKule juu kuna kitu gani ambacho kinafanya reflection itokee,yaani miale inagonga wapi na kurudi kwetu wakati huko juu kuko wazi mkuu ?
Basi iyo position uliingia kimagumashi sana.Katika vitu sipendi maishani mwangu dharau....Kama haujui mm ni mkaguzi mkuu wa kiswahili Tanzania(MKITA)....So najua nachosema sababu am professional kwenye hii Tasnia ya unyumburufu.
Bora jua,Kati ya jua na mvua bora nini?
Kwahiyo jeneza linasimamishwa kwenda juu?futi sita ni urefu wa jeneza
Tofauti kati ya tundu na tobo
elfu 4Elfu 6
Kwani kioo kina reflect vipi sura ya mtu?So maji yana reflactije angani wakati hayana nishati?
"Nimewaumba tofauti tofauti ili mpate kujuana"Kwanini MUNGU hakutufanya tuishi maisha yenye usawa wa kila kitu kuanzia imani na mali?
KisamvuNi mti gani ambao jina lake halianziwi na herufu M ?
Nb: Kwa kiswahili
Huo mlango nasikiaga wa kuingia mbinguni una ukubwa ganiAndika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
Hili swali nimeuliza kitambo sana humu mpaka sasa sijapata majibu naishia kuona kwenye mtandao mingine huko linaulizwa tuuAliyechora ramani ya dunia kwa mara ya kwanza yeye alikuwa wapi?
Yule mdudu anaewasha taa usiku ile balbu ikiungua anatoa wapi nyingineAndika swali au statement yenye kufikirisha akili.
Mimi naanza:
Hivi kati ya masikio na pua kipi kinashikilia miwani?
Hivi kila mlango uliowazi lazima uingie?
Hivi rice cooker inapikia wali peke ake?
Twende kazi
Sent from Quarantine
Kuku ndio alianza maana protein inayotumika kutengeneza ganda la yai la kuku haipatikan pengne zaid ya kwa kuku mwenyeweKati ya yai na kuku kipi kilianza...