6s mkuuIphone ipi??
Iphone 6sSimu gani? Picha nzuri
Bokeh effect ni kama hii hapa, sio hiyo uliyopiga ambayo ni kama portrait. Na sijakosea nilipokuita Mkurya.Mora hiyo ni bhooke aka asali. Unareta ubishi
He,rimote ya aboder tv tena wakati mnatuambiaga mnatumia samsung,
Bila shaka hii ni itel zhong tong
Unaumwa sio bure 😂😂😂pesa zenyewe zipo wapiHe,rimote ya aboder tv tena wakati mnatuambiaga mnatumia samsung,
Bila shaka hii ni itel zhong tong
Kabisa mkuu, karibu wilayani hapa[emoji16]Luguruni hii bila shaka?[emoji1]
Loss of detail za mkono maeneo ya kidole gumba.Galaxy a51View attachment 2125918
Picha nzuri.