42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Anga lipo over saturated.Huawei honor play COR-AL10 View attachment 2121588
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anga lipo over saturated.Huawei honor play COR-AL10 View attachment 2121588
Umepiga vibaya.
GizaLast night nikipiga mbalamweziView attachment 2121730
wow
MI 8 tena
Huawei honor play COR-AL10 View attachment 2121588
Sio bhoke we Mkurya. Ni bokeh, na inatumika kwenye mwanga wa taa zile picha unaona taa zinakuwa zimezungukwa na viduara kama matone ya maji.View attachment 2124831VIVO Y20, bhoke camera
Mora hiyo ni bhooke aka asali. Unareta ubishiSio bhoke we Mkurya. Ni boke, na inatumika kwenye mwanga wa taa zile picha unaona taa zinakuwa zimezungukwa na viduara kama matone ya maji.
Aisee, wameshaiba saana, soon nitahamia huko,, najua wataendelea kuja tu. natamani hata ningekuwa na mguu wa kwio, nimtwange mtu ya makalio.Kwa hili dirisha tegemea sana wezi kupiga kambi kwenye hii nyumba...
Aisee, wameshaiba saana, soon nitahamia huko,, najua wataendelea kuja tu. natamani hata ningekuwa na mguu wa kwio, nimtwange mtu ya makalio.
Luguruni hii bila shaka?😄Tecno Phantom 8...View attachment 2121748
Yaani huku ndani wizi wake kidogo, shida hivyo vitu vya nje, hapo ni shamba mkuu, yaani walivyoiba ndani mpaka leo vichache mnoo, ila huko nje, kuna minazi km 100 hiv, wanaiba kinyama, na naimani nikienda kukaa sababu ya mifugo na vitu vingine watakuja sana kuiba, ndio hapa kichwa kinawaka moto, natamani ningekuwa jumong.Badilisha vyuma vya dirisha...toa hizo flat bars weka square pipes au kama bajeti ndogo weka nondo
Iphone ipi??Iphone