Hakuna cha kufurahia thread imeanzishwa kisifa sifa Hii.Sizani kama kwenu hamna maeneo mazuri yako tena inawezekana kuzidi , tutumie picha tufurahie uzuri mkuu.
You must stop Nepotism
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha kufurahia thread imeanzishwa kisifa sifa Hii.Sizani kama kwenu hamna maeneo mazuri yako tena inawezekana kuzidi , tutumie picha tufurahie uzuri mkuu.
Msisahu la Maua ukishavuka Kilema!!!Yah lipo kibosho
Ruvuma kuna sehemu gan nzuri?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ruvuma eeeh! Ila kuna sehemu nzuri pia,,zipost
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli Dogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli.
Hatupakimbii tunakwenda kutafuta furs njee ya mkoa kwenye wajinga wengiMnaongoza kwa kubwa kupasifia Kilimanjaro.
Lakini cha kushangaza hayo maeneo mnayosifia kila siku, mnaongoza KUYAKIMBIA KILA SEKUNDE.
Wasomi wengi wanatoka kilimanjaroNdo nn sasa wakuja nenda lushoto uone kijani au mbeya unaumwa tafuteni maji safi kwanza hamjastaarabika
Uchaggani hapafai na ndio maana hata wenyeji wenyewe wanaongoza kupakimbia.
Mchagga anambagua hata mchagga mwenzake, kwahiyo usitegemee awe mwema kwako ambaye ni Chasaka.
Wachagga wanaishi kwa Janja Janja sana kiasi kwamba HAKUNA MSAFI, ikitokea amefikishwa kwa pilato.
Hakuna anaheshimika Kama Hana pesa hata awe mzazi.
Penda pesa, chora 7 mpaka mifuko ijaeFvck! huna hela halafu unataka heshima. Utajifunza kutafuta lini?!
Kwahiyo uchaggani Hakuna fursa?Hatupakimbii tunakwenda kutafuta furs njee ya mkoa kwenye wajinga wengi
Mmmh coca uongo huooo, nishakaa kule miezi kadhaa, post hata kijani kibichi cha Msamala na ile bara bara ya shule ya Tanga. Songea mjini pazuri mno kulinganisha na wilaya nyngi mno za mikoa mingine. Kuna watu kwao ni kubaya kuliko Songea, ila wana post! Sembuse weweeeeRuvuma kuna sehemu gan nzuri?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usinichekeshe mie. Makao makuu ya mkoa utasema tarafa fulani hivi.
Nyie Songea kuna mambo yanaliza mno.
Kumbe mikoa mingine mbal na KLM kuna wajinga wengi? Kama ipi hiyo mikoa?Hatupakimbii tunakwenda kutafuta furs njee ya mkoa kwenye wajinga wengi
Ila hatuoni impact, jihesabu wewe acha kutumia wingi. Unajua Rais wako wa awamu ya tatu alitoka wilaya gani? Waziri wako mkuu wa sasa je?Wawomi
Wasomi wengi wanatoka kilimanjaro
Sio kweli wasomi au washambaWawomi
Wasomi wengi wanatoka kilimanjaro
Sasa wewe mbona huoni point yangu Nan kaanzisha ukabila hapo mbona watu wajinga mko wengi sanaMbona kama una kachuki fulani.shida ya hiyo post ni nini? Mfano ningepost
"Dar es salaam,uzaramoni" kuna ubaya gani kusifia kwao?
I-report jamiiforum waifute kama inakukeraHakuna cha kufurahia thread imeanzishwa kisifa sifa Hii.
You must stop Nepotism
Ukabila kivip mbona hajaponda kabila lingine, nawewe anzisha Uzi usifie kwenu sio kosa mtu kusifia kwao kwa njia ya pichaSasa wewe mbona huoni point yangu Nan kaanzisha ukabila hapo mbona watu wajinga mko wengi sana
Masasi maeneo gani hapa.. Au Chigugu 😁..?