Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo nimejaa teleee maeee...Ahsante Dear....
Umepotea mno Mae Kanyi...
Habari za siku nyingi jamani?
Pole Mae..Nipo nimejaa teleee maeee...
Majukumu yamenizidia tu maee.
Si unajua tubapambana kuadjust zama za jiwe wetu[emoji23][emoji23]
Unafikiri tusipipambana hivi december itakuaje huko milimani? Tena tualikane maa[emoji4][emoji4]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Yaan mahenge kuwe na mijengo kushinda msamala?? Hauko serious!!Weee Coca weweee, nini kunifunga kamba baba yako kama mimi? Ushuani ni Mahenge maeneo ya Angoni arms[emoji23][emoji23], Mchagga mwenyewe mwenye mjengo si ni Mauki tu? Naye kafulia au uongo?[emoji23]
Wallpaper [emoji8][emoji8][emoji8]Fahari ya africaView attachment 2302305
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama wwe yaani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila watu [emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha kazi nyingii.Pole Mae..
Sikuoni oni kama Zamani ndiyo maana...hadi kuna siku nilitaka kuku'tag uzi mmoja hivi nikaacha...
Kabisa Mae hebu tuzitafute....Maana Dec. Tutaambia nini wale Wazeee...
Yes Mae....Uje nimwambie MAI akupikie Kimamtine[emoji28]
Hebu tuendelee kuzitafuta Mae...tuache kupanda Tilisho[emoji1787]Hahaha kazi nyingii.
Ndo unafika kijijini unasikia "aisee watoto wa Massawe wameenda tu juzi hapo daslamu na hawa wa kwa kwirini wameenda mwaka tu hao wamerudi na prado ukiangalia wewe nj mwaka wa 10 unarudi na tilisho safaris si balaa hilo?1[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nipikiwe kitawa tu. Ama ngararimo na chai ta rangi yenye tangawizi
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mamrenyi....
Unajua kukata majani wewe? Wanawake wa siku hizi uchagani hamna tofauti na kyasaka!Mamrenyi....
Huyo mwenye hayo Masteria hana Ng'ombe Mae?
Tuje tumsaidie kuyakata.[emoji1787]
Nakata Vizuri kabisa....Unajua kukata majani wewe? Wanawake wa siku hizi uchagani hamna tofauti na kyasaka!
Ohoo. Basi umelelewa vizuri. Mimi huwa napenda sana watu wanaojua jadi, mila na desturi zao na kuzitukuza. Bila shaka wewe ni mchaga 'mwanjo'' au mwasho kama wanavyoita warombo.Nakata Vizuri kabisa....
Sari natoa....
Manduu, Vizee kila kitu nakata...
Na kukamua nakamua.
Shukrani sana kwa picha. Imekaa vizuriBuza kwa LulengeView attachment 2305970
Ahsante Mkuu...Ohoo. Basi umelelewa vizuri. Mimi huwa napenda sana watu wanaojua jadi, mila na desturi zao na kuzitukuza. Bila shaka wewe ni mchaga 'mwanjo'' au mwasho kama wanavyoita warombo.
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] we acha tu. Unashuka kwenye tilisho badala ya ford kila mtu anakushangaa wanaulizana huyu anafanya nini huko dasilam miaka yote hiyo? Danny wa kwa dandy si ameshuka na vx hapa sasa hv na hata hakua daslam yupo hapo arusha na alienda juzi tu? Ama ni maanawake yanampelekesha? Watotu wa justini ofyo kabisaa..Hebu tuendelee kuzitafuta Mae...tuache kupanda Tilisho[emoji1787]
Hiyo umepata kabisa... MAI Atapika...si unajuaga vile wanazipatia?[emoji1787]