Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Tupia picha ya mkoani kwako tufanye utalii wa ndani

Magoroto-muheza
images%20(3).jpg
 

Attachments

  • images%20(2).jpg
    images%20(2).jpg
    28.3 KB · Views: 11
Ahsante Dear....
Umepotea mno Mae Kanyi...

Habari za siku nyingi jamani?
Nipo nimejaa teleee maeee...
Majukumu yamenizidia tu maee.
Si unajua tubapambana kuadjust zama za jiwe wetu[emoji23][emoji23]
Unafikiri tusipipambana hivi december itakuaje huko milimani? Tena tualikane maa[emoji4][emoji4]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Tatizo moja la Watanzania ni kutotaka watu wafikirie tofauti. Sioni logic ya kubadili kichwa cha habari cha hii post. Nashindwa kuelewa mtu mzima na akili yako unakuwaje offended na watu ku-post picha za kusifia mkoa wa Kilimanjaro.
 
Nipo nimejaa teleee maeee...
Majukumu yamenizidia tu maee.
Si unajua tubapambana kuadjust zama za jiwe wetu[emoji23][emoji23]
Unafikiri tusipipambana hivi december itakuaje huko milimani? Tena tualikane maa[emoji4][emoji4]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Pole Mae..

Sikuoni oni kama Zamani ndiyo maana...hadi kuna siku nilitaka kuku'tag uzi mmoja hivi nikaacha...

Kabisa Mae hebu tuzitafute....Maana Dec. Tutaambia nini wale Wazeee...

Yes Mae....Uje nimwambie MAI akupikie Kimamtine[emoji28]
 
Weee Coca weweee, nini kunifunga kamba baba yako kama mimi? Ushuani ni Mahenge maeneo ya Angoni arms[emoji23][emoji23], Mchagga mwenyewe mwenye mjengo si ni Mauki tu? Naye kafulia au uongo?[emoji23]
Yaan mahenge kuwe na mijengo kushinda msamala?? Hauko serious!!

Mahuki
Lihuku.
Zubery
Ottawa
Zabonga.

Hawa matajiri wanaipeperusha Songea yoteeee,utasema nn wee, msamala ndo kuna mijengo ya maana na ya kisasa, toka kwa gasa, miembeni,making'inda, osterbay,

Acha uwongo wako, huko mahenge ni vumbi jekundu tyuuh, mshangano enyewe imeizidi parefu Mahenge, afu ufananishe na msamala?? Pale kwa washua.

Acha mchezo wee khaaaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole Mae..

Sikuoni oni kama Zamani ndiyo maana...hadi kuna siku nilitaka kuku'tag uzi mmoja hivi nikaacha...

Kabisa Mae hebu tuzitafute....Maana Dec. Tutaambia nini wale Wazeee...

Yes Mae....Uje nimwambie MAI akupikie Kimamtine[emoji28]
Hahaha kazi nyingii.
Ndo unafika kijijini unasikia "aisee watoto wa Massawe wameenda tu juzi hapo daslamu na hawa wa kwa kwirini wameenda mwaka tu hao wamerudi na prado ukiangalia wewe nj mwaka wa 10 unarudi na tilisho safaris si balaa hilo?1[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi nipikiwe kitawa tu. Ama ngararimo na chai ta rangi yenye tangawizi

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hahaha kazi nyingii.
Ndo unafika kijijini unasikia "aisee watoto wa Massawe wameenda tu juzi hapo daslamu na hawa wa kwa kwirini wameenda mwaka tu hao wamerudi na prado ukiangalia wewe nj mwaka wa 10 unarudi na tilisho safaris si balaa hilo?1[emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi nipikiwe kitawa tu. Ama ngararimo na chai ta rangi yenye tangawizi

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hebu tuendelee kuzitafuta Mae...tuache kupanda Tilisho[emoji1787]

Hiyo umepata kabisa... MAI Atapika...si unajuaga vile wanazipatia?[emoji1787]
 
Nakata Vizuri kabisa....

Sari natoa....

Manduu, Vizee kila kitu nakata...

Na kukamua nakamua.
Ohoo. Basi umelelewa vizuri. Mimi huwa napenda sana watu wanaojua jadi, mila na desturi zao na kuzitukuza. Bila shaka wewe ni mchaga 'mwanjo'' au mwasho kama wanavyoita warombo.
 
Ohoo. Basi umelelewa vizuri. Mimi huwa napenda sana watu wanaojua jadi, mila na desturi zao na kuzitukuza. Bila shaka wewe ni mchaga 'mwanjo'' au mwasho kama wanavyoita warombo.
Ahsante Mkuu...

Nawashukuru sana wale Wazee..Ki ukweli Vitu vingi Mgombani havinipi shida..
 
Hebu tuendelee kuzitafuta Mae...tuache kupanda Tilisho[emoji1787]

Hiyo umepata kabisa... MAI Atapika...si unajuaga vile wanazipatia?[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119] we acha tu. Unashuka kwenye tilisho badala ya ford kila mtu anakushangaa wanaulizana huyu anafanya nini huko dasilam miaka yote hiyo? Danny wa kwa dandy si ameshuka na vx hapa sasa hv na hata hakua daslam yupo hapo arusha na alienda juzi tu? Ama ni maanawake yanampelekesha? Watotu wa justini ofyo kabisaa..


Eeeh maaa, mai apike kitawa tu. Nakipendaaa. Unajua yale majani wanayawekaga kinakua cha kijani?[emoji28][emoji28][emoji91][emoji91] majani ya movirooo

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom