Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kabisa inatia na huruma yaaniInasikitisha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa inatia na huruma yaaniInasikitisha...
Alikamwe hapa kafanya upuuziHaji Manara kipindi akiwa na akili zake timamu aliwahi kutuambia kuwa “kule Yanga wenye akili ni wawili tu, baba yake na Jakaya Kikwete tu”.
Nimeamini ile kauli inaishi. Kuelekea Mchezo wao wa kimataifa weekend hii, Yanga wamekuja na slogan ya Aziz Key Day. Yaani wanaiga yale ayafanyayo Azizi akiwa uwanjani.
Sasa kuna vituko vinavyoendelea huko mitandaoni, ambavyo unaona kabisa watu wanaupungufu wa akili.
Hiyo Azizi Key Day iangaliwe na umri wa kufanya upuuuzi huo🤣🤣
View attachment 2764080View attachment 2764081
Halafu ukimchek huyo dada age go ila bado anaforce 😁😁Mwishowe mbaki uchi....
Jamani hiki nacho ni kituko gani? 🥱 😆😂🤣 Popo siyo popo, batman siyo batman. Yaani hata haijulikani.Mi naanza kwa kuweka picha za Aziz 🔑 🗝 🔐 day
Uzi tayariView attachment 2764023
View attachment 2764022
Kwani wewe umri wako utabakia ulivyo?, Acha wivu piga picha wacha moyo upumue... B...fHalafu ukimchek huyo dada age go ila bado anaforce 😁😁
Upuuzi wake unakuumiza nini?, Au unateswa na yasiyokuhusu?. Asiyempuuzi akiingilia ya wapuuzi pia ni mpuuzi square.Alikamwe hapa kafanya upuuzi
Kwani mi nimesema mi mtoto,??Pole kama imekuchoma muwe mnavaa vitu vinaendana na umri wenuKwani wewe umri wako utabakia ulivyo?, Acha wivu piga picha wacha moyo upumue... B...f
Akivaa hivyo wewe unakuathiri nini?, Au ndio unapenda ila huna chakukufanya uvae hivyo😅Kwani mi nimesema mi mtoto,??Pole kama imekuchoma muwe mnavaa vitu vinaendana na umri wenu
Weee mbona hujaja kunipitia twende kwa mganga ili nikupate🤣🤣🤣🤣Halafu ukimchek huyo dada age go ila bado anaforce 😁😁
Naona Dar wanaume siku hizi wanashindana kufuga tumbo...mambo ya 'paki sita' tupa kule😁Haji Manara kipindi akiwa na akili zake timamu aliwahi kutuambia kuwa “kule Yanga wenye akili ni wawili tu, baba yake na Jakaya Kikwete tu”.
Nimeamini ile kauli inaishi. Kuelekea Mchezo wao wa kimataifa weekend hii, Yanga wamekuja na slogan ya Aziz Key Day. Yaani wanaiga yale ayafanyayo Azizi akiwa uwanjani.
Sasa kuna vituko vinavyoendelea huko mitandaoni, ambavyo unaona kabisa watu wanaupungufu wa akili.
Hiyo Azizi Key Day iangaliwe na umri wa kufanya upuuuzi huo🤣🤣
View attachment 2764080View attachment 2764081
Inashauriwa kupika hata kauji kepesi Ili kupoza njaa inapokuwa Kali,maana level ya makasiriko inaongezeka sana... jitahidi upate kauji utaacha kujibishana hovyo humu na kila anaye comment...Akivaa hivyo wewe unakuathiri nini?, Au ndio unapenda ila huna chakukufanya uvae hivyo😅
Mganga yupi tena wakati huyo mganga ndio Mimi mwenyewe?Weee mbona hujaja kunipitia twende kwa mganga ili nikupate🤣🤣🤣🤣
Mim ni yanga ila kuka kipuuz ni upuuzUpuuzi wake unakuumiza nini?, Au unateswa na yasiyokuhusu?. Asiyempuuzi akiingilia ya wapuuzi pia ni mpuuzi square.
Sijui nani kawaambia vinawapendeza😁Naona Dar wanaume siku hizi wanashindana kufuga tumbo...mambo ya 'paki sita' tupa kule😁