Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
- Thread starter
- #61
Acha maneno weka picha mzee mamaNa wewe unaungana na michicha miba?nimekuvua nyota
Na wewe unaungana na michicha miba?nimekuvua nyota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha maneno weka picha mzee mamaNa wewe unaungana na michicha miba?nimekuvua nyota
Na wewe unaungana na michicha miba?nimekuvua nyota
Kwanini mna umia na watu ambao hawana akili?Haji Manara kipindi akiwa na akili zake timamu aliwahi kutuambia kuwa “kule Yanga wenye akili ni wawili tu, baba yake na Jakaya Kikwete tu”.
Nimeamini ile kauli inaishi. Kuelekea Mchezo wao wa kimataifa weekend hii, Yanga wamekuja na slogan ya Aziz Key Day. Yaani wanaiga yale ayafanyayo Azizi akiwa uwanjani.
Sasa kuna vituko vinavyoendelea huko mitandaoni, ambavyo unaona kabisa watu wanaupungufu wa akili.
Hiyo Azizi Key Day iangaliwe na umri wa kufanya upuuuzi huo[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2764080View attachment 2764081
Bado huaja sikitikaInasikitisha...
Achana na mambo ya watu utateseka bila sababuNikiongea naonekana nawachukia yanga.
Hayajawahi kuwa na Akili haya majinga.
Muhubirii, anasemaa kila jambo na wakati wake, wakupanda na kuvuna wakucheka na kulia. Haleluyah nina wimbo wakila wakati na kila majiraa, wimbo wanyakati zote na majira yote wimbo huo ni Haleluyaah.🔥🔥🔥🔥🔥😥😥😥😥😥 daah nimekumbuka mbali🤣🤣🤣🤣🤣Ukimaliza sindikizia na Sedekia ule wa Nitaimba heluya
Umekumbuka enzi hujakata kamba zizini?😁Muhubirii, anasemaa kila jambo na wakati wake, wakupanda na kuvuna wakucheka na kulia. Haleluyah nina wimbo wakila wakati na kila majiraa, wimbo wanyakati zote na majira yote wimbo huo ni Haleluyaah.🔥🔥🔥🔥🔥😥😥😥😥😥 daah nimekumbuka mbali
Kama wewe unataka kua shoga usitafte visingizio, kuna uhusiano gani kati ya kukunja bukta na ushoga?Kwa style hii Ushoga ni ngumu sana kuisha . Watu tunapambana nayo haya makonokono yanajiibua kwa style nyingine.
Hapana sijawahi kata kamba tangu nilipopiga goti pale FPCT Jerusalem Tabora hadi leo kwa baba wa imani Magembe siwezi rudi nyuma mwikoUmekumbuka enzi hujakata kamba zizini?😁
Ni mwana Simba lia lia anaitwa sijui Coca-ColaYupo mmoja humu anautetea balaa,Bora mrekebisha tabia useme nao...eti ndio wanaume hao
Mna mbinu nyingi sana nyie. Tutawaponda tu kila mbinu mkiletaKama wewe unataka kua shoga usitafte visingizio, kuna uhusiano gani kati ya kukunja bukta na ushoga?
Daah yani ni kituko...hiki kitu sio cha kuintateini..Halafu ukimchek huyo dada age go ila bado anaforce 😁😁
Safi sana mtani..sio kila kitu cha timu kisa ni yako ni cha kukisifia..kuna mibaba imejitoa akili kabisa hapo...mwingine ufunguo umefungua mlango umekutana na tako..Kabisa inatia na huruma yaani
Ni ujinga ujinga tuDaah yani ni kituko...hiki kitu sio cha kuintateini..
Wamezingua sana yaaniSafi sana mtani..sio kila kitu cha timu kisa ni yako ni cha kukisifia..kuna mibaba imejitoa akili kabisa hapo...mwingine ufunguo umefungua mlango umekutana na tako..
Wewe kama unataka kuliwa nenda kaliwe usisingizie YangaMna mbinu nyingi sana nyie. Tutawaponda tu kila mbinu mkileta
Wewe kama unataka kuliwa nenda kaliwe usisingizie YangaMna mbinu nyingi sana nyie. Tutawaponda tu kila mbinu mkileta