Tupia picha za Aziz Ki Day hapa

Tupia picha za Aziz Ki Day hapa

Haji Manara kipindi akiwa na akili zake timamu aliwahi kutuambia kuwa “kule Yanga wenye akili ni wawili tu, baba yake na Jakaya Kikwete tu”.

Nimeamini ile kauli inaishi. Kuelekea Mchezo wao wa kimataifa weekend hii, Yanga wamekuja na slogan ya Aziz Key Day. Yaani wanaiga yale ayafanyayo Azizi akiwa uwanjani.
Sasa kuna vituko vinavyoendelea huko mitandaoni, ambavyo unaona kabisa watu wanaupungufu wa akili.

Hiyo Azizi Key Day iangaliwe na umri wa kufanya upuuuzi huo[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2764080View attachment 2764081
Kwanini mna umia na watu ambao hawana akili?
 
🤣🤣🤣🤣🤣Ukimaliza sindikizia na Sedekia ule wa Nitaimba heluya
Muhubirii, anasemaa kila jambo na wakati wake, wakupanda na kuvuna wakucheka na kulia. Haleluyah nina wimbo wakila wakati na kila majiraa, wimbo wanyakati zote na majira yote wimbo huo ni Haleluyaah.🔥🔥🔥🔥🔥😥😥😥😥😥 daah nimekumbuka mbali
 
Muhubirii, anasemaa kila jambo na wakati wake, wakupanda na kuvuna wakucheka na kulia. Haleluyah nina wimbo wakila wakati na kila majiraa, wimbo wanyakati zote na majira yote wimbo huo ni Haleluyaah.🔥🔥🔥🔥🔥😥😥😥😥😥 daah nimekumbuka mbali
Umekumbuka enzi hujakata kamba zizini?😁
 
FB_IMG_1695834921131.jpg
FB_IMG_1695835004201.jpg
FB_IMG_1695834930814.jpg
FB_IMG_1695834950937.jpg
 
Back
Top Bottom