Tupia picha za Aziz Ki Day hapa

Alikamwe hapa kafanya upuuzi
 
Nikiongea naonekana nawachukia yanga.

Hayajawahi kuwa na Akili haya majinga.
 
Kwani wewe umri wako utabakia ulivyo?, Acha wivu piga picha wacha moyo upumue... B...f
Kwani mi nimesema mi mtoto,??Pole kama imekuchoma muwe mnavaa vitu vinaendana na umri wenu
 
Kwani mi nimesema mi mtoto,??Pole kama imekuchoma muwe mnavaa vitu vinaendana na umri wenu
Akivaa hivyo wewe unakuathiri nini?, Au ndio unapenda ila huna chakukufanya uvae hivyo😅
 
Naona Dar wanaume siku hizi wanashindana kufuga tumbo...mambo ya 'paki sita' tupa kule😁
 
Akivaa hivyo wewe unakuathiri nini?, Au ndio unapenda ila huna chakukufanya uvae hivyo😅
Inashauriwa kupika hata kauji kepesi Ili kupoza njaa inapokuwa Kali,maana level ya makasiriko inaongezeka sana... jitahidi upate kauji utaacha kujibishana hovyo humu na kila anaye comment...
 
musepue namidomo Sasa msiishie kukunja bukta tuu ilimumuenzi vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…