Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Mi naanza kwa kuweka picha za Aziz π π π day
Uzi tayariView attachment 2764023
View attachment 2764022
Sasa nini kimekushinda mpaka mda huu wakati nahitaji kulogwa hapaπ€£π€£π€£π€£Mganga yupi tena wakati huyo mganga ndio Mimi mwenyewe?
Una hamu kula ban nyingine?Kwanilazima vikupendeze wewe mjinga.
π€£π€£π€£Naroga Kwa maelezo spesheliSasa nini kimekushinda mpaka mda huu wakati nahitaji kulogwa hapaπ€£π€£π€£π€£
Unasubiri Ili iweje endelea kuchangamkanasubiria ban wee ndezi
Km huna chakuonesha tunza fito zakoπ πInashauriwa kupika hata kauji kepesi Ili kupoza njaa inapokuwa Kali,maana level ya makasiriko inaongezeka sana... jitahidi upate kauji utaacha kujibishana hovyo humu na kila anaye comment...
Kwani umeambiwa ni lazima?, Au Kuna mahali Kamwe kaongea kuvaa hivyo?. Usilolipenda usilazimishe wenzako wasikipende!.Mim ni yanga ila kuka kipuuz ni upuuz
π€£π€£π€£π€£π€£ ngoja kwanza nisikilize nyimbo ya Abiud Mishol Simama Mwenyewe Bwanaπ€£π€£π€£Naroga Kwa maelezo spesheli
Sawa kakaKwani umeambiwa ni lazima?, Au Kuna mahali Kamwe kaongea kuvaa hivyo?. Usilolipenda usilazimishe wenzako wasikipende!.
Akivaa hivyo wewe unakuathiri nini?, Au ndio unapenda ila huna chakukufanya uvae hivyo
Apige picha atuwekee fito au spoku zake tuzione hapa.ππππKwani wewe umri wako utabakia ulivyo?, Acha wivu piga picha wacha moyo upumue... B...f
Sisi tumemjua labda huko Kenya ndio kuna hayo mabatman πππJamani hiki nacho ni kituko gani? π₯± πππ€£ Popo siyo popo, batman siyo batman. Yaani hata haijulikani.
π€£π€£π€£π€£π€£Ukimaliza sindikizia na Sedekia ule wa Nitaimba heluyaπ€£π€£π€£π€£π€£ ngoja kwanza nisikilize nyimbo ya Abiud Mishol Simama Mwenyewe Bwana
Kauji kepesi hakikisha unakapata.Km huna chakuonesha tunza fito zakoπ π
Yupo mmoja humu anautetea balaa,Bora mrekebisha tabia useme nao...eti ndio wanaume haoKwa style hii Ushoga ni ngumu sana kuisha . Watu tunapambana nayo haya makonokono yanajiibua kwa style nyingine.
Na wewe unaungana na michicha miba?nimekuvua nyotaApige picha atuwekee fito au spoku zake tuzione hapa.ππππ