Tupia picha za Aziz Ki Day hapa

Kwanini mna umia na watu ambao hawana akili?
 
🀣🀣🀣🀣🀣Ukimaliza sindikizia na Sedekia ule wa Nitaimba heluya
Muhubirii, anasemaa kila jambo na wakati wake, wakupanda na kuvuna wakucheka na kulia. Haleluyah nina wimbo wakila wakati na kila majiraa, wimbo wanyakati zote na majira yote wimbo huo ni Haleluyaah.πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯ daah nimekumbuka mbali
 
Umekumbuka enzi hujakata kamba zizini?😁
 
Umekumbuka enzi hujakata kamba zizini?😁
Hapana sijawahi kata kamba tangu nilipopiga goti pale FPCT Jerusalem Tabora hadi leo kwa baba wa imani Magembe siwezi rudi nyuma mwiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…