Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Power dynamos 0 Simba 0
Yanga 4 El-mereikh 2
Yanga haijakutana na timu nzuri, beki ngumu kipimo ASA,Kmc na jkt ruvu. Kesho wakishinda angalau itakuwa sahihi kutoa kauli hio.Katika kitu kigumu ni yanga kuruhusu goli.
Mabeki imara
Kipa mzuri.
Natabiri yanga 2-0
Simba 1-1
Yanga haijakutana na timu nzuri, beki ngumu kipimo ASA,Kmc na jkt ruvu. Kesho wakishinda angalau itakuwa sahihi kutoa kauli hio.
Yanga amecheza na Simba na Azam hajaruhusu goli, au nao siyo team nzuri?Yanga haijakutana na timu nzuri, beki ngumu kipimo ASA,Kmc na jkt ruvu. Kesho wakishinda angalau itakuwa sahihi kutoa kauli hio.
OK. Tusubiri baada ya mechi kuisha jion.Yanga amecheza na Simba na Azam hajaruhusu goli, au nao siyo team nzuri?
Timu ngumu ndo zipi mtani?Yanga haijakutana na timu nzuri, beki ngumu kipimo ASA,Kmc na jkt ruvu. Kesho wakishinda angalau itakuwa sahihi kutoa kauli hio.
na timu ya taifa ya algeriaYanga haijakutana na timu nzuri, beki ngumu kipimo ASA,Kmc na jkt ruvu. Kesho wakishinda angalau itakuwa sahihi kutoa kauli hio.