Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
ππ unataka kusema?View attachment 2843499
πππ
bado sijasema πππ unataka kusema?
urembo kwa kutumia avatar π
manzi za humu ndani zooote sura za baba zao
warembo wapo insta uko umu wote ni wanaume usidanganywe na Id fake ni wanaume wenzetu hao
πππView attachment 2843499
πππ
Kumbe elfu 10,basi baki nayo tuNdugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kaziβ¦..
ππππππ
Mpaka useme [emoji1787][emoji1787]bado sijasema [emoji1]
niwekee uthibitisho PM nije nifute comment chapu π€Nitake radhi mkuu ninasura ya mama na baba pia πππ
πππ Ushasema wote wanaume humu basi sawaa,acha nikubali kishingo upande ivyo ivyo πππΆπΆniwekee uthibitisho PM nije nifute comment chapu π€