Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Huyo kutwa kucha kulilia hogo za wanaume wenzie hayupo sawa anajichetua sana afu mwanaume mzima hayupo timamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka nililie ninii? Nalilia Hogo za malijariii, sio misago inayoranda randaa kuchachuanaaa! Sikoboanii mie.

Nakunjwa 7 tyuuh.
 
Sikuhizi cocastic amekuwa matured sana hataki bifu na watu enzi zake alikuwa wekuweku mpaka nikawa najiuliza haka katoto kanasoma engineering kwelii au ni mwalimu wa fasihi. Big up
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeshavukaaa hizo level!!!! Aririiiiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiii kumbeee ndo hiii, huyo ana hasira tangu aumbuliwe siku ile na kantriiii, kujifanya yuko Paris kumbe yuko Kigas hapoooo.

Sasa hili ndo la kunistuaa mie jamaniiiii, aaaaaah
 
Tu yeye na ms eyes sina hakika kama ni ladies but ni member smart sana kutokana na wanavyo intarakiti humu na wadau , they are charming .
Ni mwanamke ,na ni mwl ,lakini punguza nyege ushenzi

Kwenye katiba yeyote duniani ,inamengineyo na wewe ,kama unamengineyo njoo inbox ,namfahamu toka akiwa mbeya sehemu moja ila ni mbeya dc


Punguza ushenzi ,najua Huna ila punguza
 
Na ww akili yako inavia
 
Mimi yenyewe huwa nikipiga hesabu kuhusu financial service japo sijawahi kumuona ila lazima atakuwa pisi kali HIYO NILIKUWA NAWAZA TU LAKINI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…