Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kuwa makin Mana kaapa huu mwaka lazima awe Bilionea....Mkinga yule anapenda kuwa na misukule ya kike.Wee usiniambie
HUYU APUUZWENikuibie Siri tu.
dronedrake ana mafeeling kishenzi juu yako, sijui Kama hajilipui juu yako. Huskiagi mushkeri from nowhere ?
Ana stressShida sio utoto, sema umri wako umeenda ndomana
Mimi mtu akisema namchukia nakua simwelewi kwasababu naweza tu nikakufungia mageti, yani just unakua out of my businesses na naweza nisishughulike na kitu chako chochote kile lakini haimaanishi kama nakuchukia😃😃
😃😃😃. Eti dronedrake ya kweli haya?Sema kuwa makin Mana kaapa huu mwaka lazima awe Bilionea....Mkinga yule anapenda kuwa na misukule ya kike.
😂😂Halaf anatudanganya hapa kwamba mimi ni mwanachuo nina miaka 19! 🤣
Propaganda Machine na trusted Source.HUYU APUUZWE
achana na Hamisi, muongo😃😃😃. Eti dronedrake ya kweli haya?
Kwan ninavyojua Mimi Chuki ni hisia za kutokua na upendo au uhasama kwa mtu.. yani unakua na negative thoughts juu yake hata afanye jambo gani zuri, hupendi afanikiwe na vitu Kama hivyoWeka maana ya neno chuki kwanza halafu ndio tujadili hiki kifungu...
Hapa nafikir nikae kando niangalie mtanange tu.Naona yeye ndo akae kwa kutulia, unakaribishwa best friend
Wanoko wanaenda kutunga novel....sio muda utapewa nakala yako.😃😃😃. Eti dronedrake ya kweli haya.
japo kuna sehemu hapo umeongea ukweliPropaganda Machine na trusted Source.
Nyoshi wewe sio wakunisema vibaya.achana na Hamisi, muongo
El Sadat au ?Nyoshi