Tupo wana CCM huru tunaounga Katiba Mpya Movement, CHADEMA endeleeni kuchochea Moto

Tupo wana CCM huru tunaounga Katiba Mpya Movement, CHADEMA endeleeni kuchochea Moto

CCM ina makundi ya wanachama wa aina kadhaa lakini, haya makundi ndio 'prominent'.

CCM kindakindaki yaani hawa ni kama CCM lialia. Hawa wapo wengi kiasi na ni wazee wazee Kwa wingi wao. Hawana maslahi yoyote na chama, wengi wao wamepigika mno ki maisha. Hata hawajui kwa nini wanaipenda chama, yaani wamejikuta wanaipenda tu. Hawa hawapo frontline sana.

CCM maslahi, hawa ni kama wale wanachama wa upinzani wanaohamia CCM wapate uteuzi, and the likes. Hawa ndio wale 'zidumu fikra za Mwenyekiti' cha muhimu 'tumbo lake lijae chakula'. Hawa wapo frontline kwa kila kitu kupigania chama maana mambo yao yanategemea uhai wa chama. CCM maslahi ndio kundi kubwa zaidi kwenye chama, wahamiaji ni wachache sana. Ila mara nyingi hujikuta chemistry zao zina match Kwa sababu wanakuwa na common interest. Hawa ndio wanufaika wakubwa wakubwa wa chama na mifumo ya utawala. Hawa huwatumia wana CCM wenzao kujinufaisha zaidi.

CCM limbukeni. Hawa ni wengi kiasi. Hawajui misingi ya chama, na hawajui chochote kuhusu chama. Hawa hawawezi kufanya analysis ya chochote kile kuhusu siasa, wao ili mradi ni CCM hewalaaa. Yaani hawa ni wale ambao wapo wapo tu hata hawajielewi. Hata ukiwa 'confront' vizuri kuhusu jinsia yake anaweza kukukwambia yeye ni 'ke' ilhali ki bailojia ni 'me'. Yaani wapo hvyo yaani.

CCM huru. Hawa ni wale wanachama wachache sana wanaojielewa sana. Hawa wana logic reasoning kubwa kubwa. Wanajitegemea kwenye shughuli zao za ki uchumi bila hisani ya chama. Hawa wanaamini katika misingi ya chama 'Jembe na Nyundo'. Hawa ni wachapa kazi by nature. CCM Music yupo kundi hili. Hawa hawapo kwenye frontline politics sababu wanaona utoto mwingi kwenye majukwaa ya siasa.

Kwa mfano: CCM huru wanaamini wapinzani ni wepesi sana tukienda nao hoja Kwa hoja. Ki msingi wapinzani hawana hoja za maajabu, hoja zao ni za kawaida sana, hazistui.

Sasa, CCM huru tunaunga mkono movement ya katiba mpya. Ni kweli katiba yetu imezeeka, na ndio maana hata JK aliasisi mchakato wa kuandika katiba mpya. JK ni mwana CCM, na anakubali kweli kuna haja ya kuandika katiba mpya.

Sasa, nyie CCM lialia, CCM maslahi, CCM limbukeni muache kutuharibia chama kwa kushupaza shingo.

Katiba mpya ni muhimu na tunaitaka kwa ajili ya mustakabali mzima wa nchi yetu, na sio kwa ajili ya mustakabali wa maslahi yenu wenyewe kwa wenyewe.

CCM ni chama cha wananchi na sio cha wanufaika wa chama
Basi kuanzia leo ccm huru mtakua marafiki zangu , nilikua najiuliza why ccm wako hivi kumbe Kuna makundi ,asante KWA uchambuzi , ccm huru ndo tunawataka majukwaani sio hao wengine , ccm huru Safi sana
 
Sisi tulio ndani ya chama tunajuana.

Hawa wengi waliopo mitandaoni ni 'CCM limbukeni na CCM JAZA TUMBO'
Ila hatuna umoja kama ule wa akina mwl Nyerere wakati wa kudai uhuru...Tutahukumiwa kwakutoisimamia nchi hii na kuiacha ipelekwepelekwe na hawa maslahi, matumbo na limbukeni...Lets get our brains together and do something good for our country and everybody....

Tukisha weka mfumo ambao unaruhusu watu kula kwa nguvu zao wenyewe badala ya kutengeneza curtails na kutafuta political positions ili kuondoa wengi kwenye competition tutakuwa tumewarithisha vizazi vyetu nchi nzuri na yenye kuweza kujiendeleza....Huu utoto wa kusaka vyeo na nafasi umeambukizwa hadi kwenye taasisi zetu za elimu ya juu, so saaad! Watu wasio na uwezo wala maono wana gang up kwaajili ya kupata viposho na vi nafasi vya kupiga pesa za umma...God have mercy on us!
 
Na hakuna atayetaka waelemike au wajikwamue kiuchumi kwani ndio mtaji wao.

Hapa nchini tayari tuna matabaka,

Magufuli alijitahidi sana kuneutralise hiyo hali,

Lakini naona wenye uwezo Kwa Sasa wanarejea, hawataki Abadan kupoteza nafasi zao.
Subira ya vuta heri
 
Yule ni Mwenyekiti wetu, heshima kwake ni lazima. Ni CCM huru yule, ndio maana amesema katiba mpya sawa ila apewe muda kidogo tu
Na yupo open minded, ni mida hii ambapo huyu anaweza itengeneza CCM ya mfano kwakua anasikiliza na anaangalia vitu kwa jicho chanya
 
Kuna Mdau kauliza swali huku "Je! Mama yupo ccm ipi?"
Tafadhali majibu.....
Isije ikawa naye......teh teh teeeeee
Wewe mwenyewe umeweka hadi picha ya mama kwenye avatar yako kumbe hujui unashadadia nini!
Tukuiteje wew?
 
Bila kusahau tupo Wanufaika wa Ccm tangu kuzaliwa kwetu na hatukipendi chama.
Hawa sasa ndiyo cancer ya damu ndani ya CCM, maana wanapenda kubebwa na wamepewa mbeleko kqa muda mrefu hadi wamekuwa na qualifications kuwazidi wengi ila ndiyo wapo busy kukata wenzao miguu wasiwazidi wabaki peke yao waki enjoy cake ya nchi....
 
Na kuna sisi wananchi huru pia tuko ktk kuunga mkono juhudi hizo za kudai katiba mpya ya wananchi wote.
 
Ubovu wa katiba kipindi Cha JPM kila chama kilisoma namba sio wapinzani Wala chama tawala
Ila alihitajika kwakweli kwa jinsi tulivyokuwa tumekosa mwelekeo...Alitakiwa aturudishe kwenye mstari kisha aje sasa mwana demokrasia atupeleke sasa kama binadamu wenye kujitambua
 
Ccm huru nimeomba urafiki mapema na nyie msije sema ,sikusema japo mie CHADEMA ila malengo YENU ni mazuri KWA taifa , please
Ila hatuna umoja kama ule wa akina mwl Nyerere wakati wa kudai uhuru...Tutahukumiwa kwakutoisimamia nchi hii na kuiacha ipelekwepelekwe na hawa maslahi, matumbo na limbukeni...Lets get our brains together and do something good for our country and everybody....

Tukisha weka mfumo ambao unaruhusu watu kula kwa nguvu zao wenyewe badala ya kutengeneza curtails na kutafuta political positions ili kuondoa wengi kwenye competition tutakuwa tumewarithisha vizazi vyetu nchi nzuri na yenye kuweza kujiendeleza....Huu utoto wa kusaka vyeo na nafasi umeambukizwa hadi kwenye taasisi zetu za elimu ya juu, so saaad! Watu wasio na uwezo wala maono wana gang up kwaajili ya kupata viposho na vi nafasi vya kupiga pesa za umma...God have mercy on us!
 
Wewe ukisikia neno 'katiba mpya' hupati taharuki kama wana CCM wenzako?
 
CCM ina makundi ya wanachama wa aina kadhaa lakini, haya makundi ndio 'prominent'.

CCM kindakindaki yaani hawa ni kama CCM lialia. Hawa wapo wengi kiasi na ni wazee wazee Kwa wingi wao. Hawana maslahi yoyote na chama, wengi wao wamepigika mno ki maisha. Hata hawajui kwa nini wanaipenda chama, yaani wamejikuta wanaipenda tu. Hawa hawapo frontline sana.

CCM maslahi, hawa ni kama wale wanachama wa upinzani wanaohamia CCM wapate uteuzi, and the likes. Hawa ndio wale 'zidumu fikra za Mwenyekiti' cha muhimu 'tumbo lake lijae chakula'. Hawa wapo frontline kwa kila kitu kupigania chama maana mambo yao yanategemea uhai wa chama. CCM maslahi ndio kundi kubwa zaidi kwenye chama, wahamiaji ni wachache sana. Ila mara nyingi hujikuta chemistry zao zina match Kwa sababu wanakuwa na common interest. Hawa ndio wanufaika wakubwa wakubwa wa chama na mifumo ya utawala. Hawa huwatumia wana CCM wenzao kujinufaisha zaidi.

CCM limbukeni. Hawa ni wengi kiasi. Hawajui misingi ya chama, na hawajui chochote kuhusu chama. Hawa hawawezi kufanya analysis ya chochote kile kuhusu siasa, wao ili mradi ni CCM hewalaaa. Yaani hawa ni wale ambao wapo wapo tu hata hawajielewi. Hata ukiwa 'confront' vizuri kuhusu jinsia yake anaweza kukukwambia yeye ni 'ke' ilhali ki bailojia ni 'me'. Yaani wapo hvyo yaani.

CCM huru. Hawa ni wale wanachama wachache sana wanaojielewa sana. Hawa wana logic reasoning kubwa kubwa. Wanajitegemea kwenye shughuli zao za ki uchumi bila hisani ya chama. Hawa wanaamini katika misingi ya chama 'Jembe na Nyundo'. Hawa ni wachapa kazi by nature. CCM Music yupo kundi hili. Hawa hawapo kwenye frontline politics sababu wanaona utoto mwingi kwenye majukwaa ya siasa.

Kwa mfano: CCM huru wanaamini wapinzani ni wepesi sana tukienda nao hoja Kwa hoja. Ki msingi wapinzani hawana hoja za maajabu, hoja zao ni za kawaida sana, hazistui.

Sasa, CCM huru tunaunga mkono movement ya katiba mpya. Ni kweli katiba yetu imezeeka, na ndio maana hata JK aliasisi mchakato wa kuandika katiba mpya. JK ni mwana CCM, na anakubali kweli kuna haja ya kuandika katiba mpya.

Sasa, nyie CCM lialia, CCM maslahi, CCM limbukeni muache kutuharibia chama kwa kushupaza shingo.

Katiba mpya ni muhimu na tunaitaka kwa ajili ya mustakabali mzima wa nchi yetu, na sio kwa ajili ya mustakabali wa maslahi yenu wenyewe kwa wenyewe.

CCM ni chama cha wananchi na sio cha wanufaika wa chama
Mimi pia ni ccm taga najielewa na taka katiba mpya napendekeza kila chama cha sisia kimiliki jeshi lake ili kuondoa huu jinga siku nyingine ujirudie tena
 
Kazi mnayo.. wananchi wengine na sie tunafata ya Rais wetu.. kwani yeye yupo kundi lipi?
Wewe malaya jaribu kutafuta msimamo wako mwenyewe ambao unaona unafaa kwa maslahi mapana ya taifa hili. Usipende kuwa ni mtu wa bendera fuata upepo!!
 
Kabla ya kuibadili inapaswa kwanza tufahamu hiyo Katiba ni nini na inapatikanaje?

Halafu pia tuifahamu hii iliyopo uzuri na mapungufu yake.

Maana nyimbo za katiba mpya ni nyingi wakati hii tuliyonayo hata sio kila mtu anaifahamu kiasi Cha kujua uzuri na udhaifu wake.
Je, unaujua udhaifu wa babako kiasi kwamba umshauri asizae mtoto mwingine na mamako?
 
Back
Top Bottom