#COVID19 Tupo Watanzania tunaohitaji chanjo ya COVID-19

Mku kweli hapo kuna jambo limejificha. Why not have the same vaccine in Africa & America, Canada & EU what is the secret behind?
Why Africa peke yake na Vaccine yake alafu wao USA, Canada na EU wawe na yakwao?
Hiyo iliyokuwa displayed kwenye hiyo picha siyo vaccine na haijawa approved hata na FDA ya US so usichanganye vitu na kwa hiyo haiwezi tumika US. . igoogle utaprove ninachokueleza halafu cipla india hajatengeneza covid 19 vaccine bado hata china yenyewe inasuasua sinopharm ndiyo kwanza wanaendelea na majaribio, sinovac walijaribu kuja na chanjo kwenye majaribio imeua mtu! wakati huhuo kampuni nguli za kizungu kama astrazeneca, na Pfizer chanjo zake zinazidi kupata mafanikio. Madawa mengi ya india yanauzwa kwenye nchi za dunia ya tatu ni nadra kuyakuta kwenye nchi zilizoendelea.
 
Acha kubweka hapa jukwaani kama mbwa kichaa, wewe kama unataka nenda kapigwe hiyo chanjo,hakuna mtu alikuzuia.Lakini pia unaweza kujiweka lockdown mpaka pale Corona itakapoisha,kubweka hapa huku ukiendelea na maisha sawa na wale tusiotaka hiyo chanjo ni upumbavu tu☹️.
 
Kuchallenge ni kuingia maabara na kuchambua kama chanjo ni salama na siyo kupiga mayowe majukwaani kuwa wazungu siyo watu wazuri na hawana nia njema na kudai kuwa chanjo hazifai!
ewaah
 
Hilo jamaa linafikiri chanjo ni km kunywa maji
 
Si kila kinachotoka kwa mzungu ni kizuri Mia Kwa Mia, ni lazima wenye akili kukichalenji!!

Licha ya wengi wazungu kuchanjwa, lakini bado hawajathibitisha kuwa waliochanjwa wako salama kiasi gani
Ni kweli sio kila cha mzungu ni kizuri kama vile ambavyo sio kila cha mwafrika ni kizuri huyu anayechallange chanjo basi angechallange na angeikataa pace maker aliyowekewa mwilini mwake na mabeberu. za kuambiwa changanya na za kwako. Nyerere kafia kwa wazungu, Kikwete kaponea tezi dume kwa wazungu, Mkapa alitibiwa kwa wazungu pia
 
Check hili jamaa bila aibu linaandika utumbo huu,hivi chanjo anayodungwa mwanao imetengenezwa chato?Pumbafu kabisa hujui kwamba ipo kwenye hatua ya awali kabisa
 
Hivi huko CCM hakuna mwenye akili hata mmoja?. Watu wanakufa na wagonjwa ni wengi. Anataka nini huyu Rais WA Chato?
 
Ni ngumu kuamini kuwa katika karne ya 21 unaweza kuwa Rais wa ajabu kama huyu!
View attachment 1687463
This is the best time to prove that we can't exist on our own as a society we need leaders. At trying times like this it's when we sit back and review our values and process of selecting and vetting our leadership process. The best we can do is learn.

Vilaza ni changamoto kubwaaaaaa
 
Hiyo chanjo hasa inayotengenezwa na Pfizer na BioTech bado ina mawenge, ni teknolojia mpya ya uzalishaji wa chanjo na haijafanyiwa utafiti wa kutosha hususan kwa kuanzia kwa wanyama. Unaposema chanjo ambayo bado ipo kwenye majaribio itolewe katika mazingira ya dharura maana yake umewageuza binadamu kuwa wanyama wa majaribio (experimental animals) ndo maana madaktari nchini ufaransa wamegoma kuchanjwa hiyo chanjo...
 
Kabla cjakujibu nijibu na ww kwann zisisambazwe US,CANADA NA EU?
Hawategemi hizo tu wana uchaguzi mwingi wa vaccine huko . Mbona wamekataa za urusi pia.

Hujajibu pia kwamba kabla hata ya uhuru chanjo zilikuwepo kibao. Inashangaza hofu mnayowajaza watu kwa chanjo hii wakati kuna chanjo nyingine tunaendelea nazo.

Halafu tafadhali pitia post #35 bro kaeleza vizuri sana
 
Check hili jamaa bila aibu linaandika utumbo huu,hivi chanjo anayodungwa mwanao imetengenezwa chato?Pumbafu kabisa hujui kwamba ipo kwenye hatua ya awali kabisa
Jinga wewe Kama una amini kika wanachosema hao ni sahihi basi gawa tako lako watu walisuze tuone utakavyobinuka.
Kama hao jamaa ni wazuri mbona hawajaleta chanjo ya ukimwi ambao umeua maelfu ya waafrika,
Kwa vile hayo magonjwa kwai hayapo basi wanaleta chanjo zingine eti zitumike africa tu, kwa nini zitumike na huko kwao?
Jiulize wewe msubilia ugali.
 
Dawa ni moja,kuaminiza wenzetu hatutaki,basi leteni hapa juhudi zetu, za utafiti wa chanjo yakutengeneza wenyewe yenye kuaminika, ama zote hizi ni mbinu za kukwepa gharama kwakuwa tumeshachagua tufanye nini na tusifanye nini.
Exactly, tutajenga reli na ndege na madaraja, tutalipia na kukopea!
Afya siyo kipaumbele tutaipiga siasa, piga dana dana. Yatawekwa maneno kuwachanganya na kuwatoa watz kwenye mstari.
Beberu akitaka kutumaliza sekunde tu, maana kila kitu tunachotumia ni chake, simu, wino tunaosainia, taulo, shuka, suit, boxer hata toothpick hatuna tunazotengeneza zetu!

Midege teknolojia yake, treni teknolojia yake, hata huko jeshini ni teknolojia zao.

Everyday is Saturday...............................😎
 
Rais Magufuli ana hangover ya kujiona bingwa wa korona. Amejitengenezea "umaarufu" kwa kukomalia "Sala" kama njia pekee ya kupambana na korona. Alitumia propaganda , akasitisha matangazo ya vifo na maambukizi ya korona. Ilionekana amefaulu.

Lakini sasa inadhihirika korona "kali" ipo. Hawezi kutangaza kuna korona, kwa sasa Angalau . Anaendeleza propaganda dhidi ya "wazungu" au mabeberu. Anakoelekea atazidi kuadhirika
 
Kumsikiliza mwehu unahitaji uwe sober,hata alipo anachanjo kibao za mabeberu plus za gamboshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…