ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Hata mimi nimetokea kumkubali mbali ya kuwa naishabikia Yanga,lakini nimewaza tu hizi sifa na covearage kubwa anazopata na ugeni wake asije akavimba kichwa akashindwa ku deliver hasa kile kinachohitajika...akaanza haribu.
Basi mdogo mdogo jamani hasa nyie watu wa media.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi mdogo mdogo jamani hasa nyie watu wa media.
Sent using Jamii Forums mobile app