Tupe takwimu za masheikh waliofariki mwaka mmoja uliopita. Tuone kama Kuna correlation kati ya vifo vyao na unachoongea!
Masheikh kama binadamu wanaugua na kufa Kam watu wengine! Pope Francis anakula ubwabwa wa wapi mbona Yuko hoi?
Sheikh Mohammed Idd (RIP) kafa ghafla akiwa Bado mdogo sana, na wengine wengi akiwemo baba yangu pia. Wengine wamefia kwa waganga wa kienyeji wakidhani wamerogwa mskitini.Tupe takwimu za masheikh waliofariki mwaka mmoja uliopita. Tuone kama Kuna correlation kati ya vifo vyao na unachoongea!
Masheikh kama binadamu wanaugua na kufa Kam watu wengine! Pope Francis anakula ubwabwa wa wapi mbona Yuko hoi?
Mbona unasisitiza sana kutokula "nyama nyingi"?Jogging peke yake haitoshi, wapinguze kula kwenye shuguli zao. Hasa nyama na wanga/sukari.
Kama hujui ni heri ukakaa kimya u some kazi za wenzako au uliza swali namna nyama nyingi iliyonona kila siku ilichanganywa na ubwabwa pamoja inavyohatarisha afya ya mlajiMbona unasisitiza sana kutokula "nyama nyingi"?
Una uhakika na elimu yako ya lishe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kobazi watakuja na mapanga hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ushahidi?Masheikh wetu wanaongoza kwa magonjwa yanayosababishwa na kula (,metabolic deases); shinikizo la damu, uzito mkubwa na kisukari.
HeheheheheheheheheheheheheheheheMagonjwa haya yanatokana na tabia ya masheikh kuhudhuria karamu nyingi zinazoambatana na milo yenye nyama nyingi,
Pope upinde ndio unamfanya awe mgonjwa kila sikuTupe takwimu za masheikh waliofariki mwaka mmoja uliopita. Tuone kama Kuna correlation kati ya vifo vyao na unachoongea!
Masheikh kama binadamu wanaugua na kufa Kam watu wengine! Pope Francis anakula ubwabwa wa wapi mbona Yuko hoi?
Wale jamaa wana matumbo ya ziadaVipi kuhusu wale walevi na Wala kitimoto? Hawapati madhara?
Tena mtu mmoja anakula kitimoto kilo 3! Hivi inawezekanaje?
Sijawahi kusikia mtu anakula mbuzi au ng'ombe hata nusu kilo mtu mmoja!
DuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhVyakula kama pilau, ubwabwa, ugali, tambi, biliani, chai, tende, harua na soda na minyama mingi kwenye sherehe, visomo na Dua Kila siku kwa masheikh ndio chanzo kikuu cha matatizo haya.
Ndo statistics hizi?Kabisaaa, waulize wenyewe na waumini wao wamepoteza masheikh wangapi kwa kiharusi na kisukari
HehehePope Francis anakula ubwabwa wa wapi mbona Yuko hoi
HeheheWale jamaa wana matumbo ya ziada
Kuna tumbo linahifadhi sadaka
Kuna tumbo linahifadhi mchango ya ubarikio na komonio
Kuna tumbo kinahifadhi NGURUWE,divai na mkate (choo cha bwana)
So ikitokea tumbo moja kimepwaya basi zile kilo 3 za kitimoto za ziada hua zinahifadhiwa huko
Sunah ya mtume!Hivi kuna uhusiano wa kiimani kati ya ubwabwa, juisi ya miwa na wale jamaa wa upande ule?
Nguruwe ni kati ya wanyama ambao nyama yao imejaa sumu nyingi (omnivorous). Hasa kutokana na tabia yao ya kula Kila kitu (majani, nyama, mizizi, matunda, nk). Pamoja na kuwa na mafuta mengi mabaya kiafya lakini Wana sumu nyingi sana. Stroke na Cancer nyingi zinatolana na ulaji wa kitimoto kwa wingi.Vipi kuhusu wale walevi na Wala kitimoto? Hawapati madhara?
Tena mtu mmoja anakula kitimoto kilo 3! Hivi inawezekanaje?
Sijawahi kusikia mtu anakula mbuzi au ng'ombe hata nusu kilo mtu mmoja!
Nachojua Ma Ustadh wanapenda michezo ya Karate, judo kwa ajili ya kuwapiga makafiri.Masheikh wetu wanaongoza kwa magonjwa yanayosababishwa na kula (,metabolic deases); shinikizo la damu, uzito mkubwa na kisukari.
Magonjwa haya ya chakula yanawaandama masheikh wetu sana kiasi cha kusingiziana kurogana na kutupiana majini hasa pale inapotokea masheikh kupata kiharusi, kuanguka chooni na vifo vya ghafla bin pu.
Magonjwa haya yanatokana na tabia ya masheikh kuhudhuria karamu nyingi zinazoambatana na milo yenye nyama nyingi, wanga mwingi na sukari nyingi kwa masheikh. Vyakula kama pilau, ubwabwa, ugali, tambi, biliani, chai, tende, harua na soda na minyama mingi kwenye sherehe, visomo na Dua Kila siku kwa masheikh ndio chanzo kikuu cha matatizo haya.
Masheikh kuleni na kunywa kwa kiasi kisha mfanye mazoezi. Kataeni nyama nyingi kupita kiasi. Sio majini na uchawi na kula sana