Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndipo hao mnapofeli alafu mnalalamika kutwa hapa jukwaani. Utamu wa ngoma ingia uicheze kwanza lolWacha sifa utakuwa nazo nitakazo mimi??
Mimi napenda wakaka shombi shombi wasafi na mtonyo uwepo unadhani akizaliwa binti classic atakula nini akaa,Wadada wengi wanachagua sana kuliko sisi wanaume, unakuta mdada anataka mkaka tall, dark, handsome & well off, wakati chances za kukutana na mwanaume wa hivo ni 2% Unique Flower
Kariri maisha utakufa maskiniSwala la kuoa ni utayari, halihusiani na mali wala umri wa mtu.
Pia vijana wengi hawaoi kwa sababu wanayaona kwa macho mawili yanayoendelea kwa waliotangulia kuoa.
Nimekaa kimya kisaa siwezi kujaUa langu la kipekee njoo PM pls sweetheart..
Wapi??Ndipo hao mnapofeli alafu mnalalamika kutwa hapa jukwaani. Utamu wa ngoma ingia uicheze kwanza lol
Ukiona mtu anadai pesa pesa huyo hana matunzo ni fucking dudu😛🤣🤣🤣Shida mabinti wengi wamegeuza mahusiano kuwa sehemu ya kujipatia kipato ,sasa kabla hawaja toboa mfuko nikuchapa na "kurara mbere"
Umri unaenda acha kujishongondoaSwala la kuoa ni utayari, halihusiani na mali wala umri wa mtu.
Pia vijana wengi hawaoi kwa sababu wanayaona kwa macho mawili yanayoendelea kwa waliotangulia kuoa.
Siulisema utanipotezea muda so saivi unadai nini tena mbona hueleweki??Najua hujipigii promo unique, japo upendo wangu kwako uko pale pale...
Umri hauoi mtu, uwezo wa kumudu mke Au mume na Utayari ndo kilakitu.Umri unaenda acha kujishongondoa
Mie mkubwa napenda kula , kunywa na kucheza je wewe kutafutia sasa hapo sijuiUmri hauoi mtu, uwezo wa kumudu mke Au mume na Utayari ndo kilakitu.
Nyie mnaoa olewa au kuoa kwa umri ndo mnatusumbua huku mitaani na migogoro isiyo na kichwa wala miguu
Mkuu,Siulisema utanipotezea muda so saivi unadai nini tena mbona hueleweki??
Uzee unakunyemelea nafuu kuna mmoja kajitambua ushimen yeye tu siku hizi kazi yake ni kula matunda nakufanya mazoezi mengine hakunaga ila equation x bado hajielewi kabisa anang'ang'anaMkuu,
Upendo haujalishi lakini.
Haijalishi mkuu,Uzee unakunyemelea nafuu kuna mmoja kajitambua ushimen yeye tu siku hizi kazi yake ni kula matunda nakufanya mazoezi mengine hakunaga ila equation x bado hajielewi kabisa anang'ang'ana
Sasa pesa na upendo wapi na wapiHaijalishi mkuu,
Wengine ujana wetu ulichelewa kuanza so hata uzee wetu utachelewa kuanza!! Halafu siku hizi ni pesa tu, tunaitafuta pesa ili tusizeeke.
Unataka kumuhonga unique fulawaHaijalishi mkuu,
Wengine ujana wetu ulichelewa kuanza so hata uzee wetu utachelewa kuanza!! Halafu siku hizi ni pesa tu, tunaitafuta pesa ili tusizeeke.
Eeeh, ukitaka kuhongwa utahongwa tu!! Ukitaka kuonyeshwa upendo utaonyeshwa..ni wewe tu unique!Unataka kumuhonga unique fulawa
Walisema wengi hapa ukiwa serious wanaomba elfu 30 waanzee urafiki rasmiEeeh, ukitaka kuhongwa utahongwa tu!! Ukitaka kuonyeshwa upendo utaonyeshwa..ni wewe tu unique!
30k kwa ajili ya kuanza urafiki? Na wewe ili uanze urafiki unahitaji ngapi unique?Walisema wengi hapa ukiwa serious wanaomba elfu 30 waanzee urafiki rasmi
It's alright with me. Enjoy the fab thenNimekaa kimya kisaa siwezi kuja