[emoji28][emoji28]Tuliooa na tuna Michepuko tunacomment wapi[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28]Tuliooa na tuna Michepuko tunacomment wapi[emoji4]
mimi nipo single kwa sababu ww hautaki kujibu text zangu PMHapa JamiiForums kupitia huu uzii kwanini upo single na huolewi au huoi tatizo nini.
Umelogwa au mvivu wakutafuta mpenzi serious .
Maana humu wadar ni wengi na wanasifa zote wadada wanazotaka shida nini?
Maelfu ya wanajJF wa kiume ni single wamejenga wanajitahidi kupanda chart wengine wanamkaribia Dangote shida nini unataka kuzikwa na magari yako yote na wanawake wa kila rangi na umbo wamo humu na wadada shida nini mnakwama wapi?
Pole kwa hilo, ila inawezekana ulikua unaumia kwa sababu ulikua unampenda sana. Kwahiyo kikubwa ni kupendana, hivyo vingine vitakuja tu.Okay hivi wajua nilikuwa na mtu sura haifai ila bado alikuwa ananiumiza kichwa
Mimi sijui kupendaPole kwa hilo, ila inawezekana ulikua unaumia kwa sababu ulikua unampenda sana. Kwahiyo kikubwa ni kupendana, hivyo vingine vitakuja tu.
Badili dini ndio nitakusubiriamimi nipo single kwa sababu ww hautaki kujibu text zangu PM
Ipo siku utakutana na mtu ambaye utakua kama teja kwake, mda wote utamuwaza yeye.Mimi sijui kupenda
HakunagaIpo siku utakutana na mtu ambaye utakua kama teja kwake, mda wote utamuwaza yeye.
" kuchapa na kurara mbere"Shida mabinti wengi wamegeuza mahusiano kuwa sehemu ya kujipatia kipato ,sasa kabla hawaja toboa mfuko nikuchapa na "kurara mbere"
tuongee kwanza ilo swala la dini tutaongea jibu kwanza textBadili dini ndio nitakusubiria
Basi hakuna haja ya hii thread, tuendelee kuwa single kama hakuna kupendana.Hakunaga
Mi niumbo namba SITA na Sina degree yanini mwanamke ,mi Rangi ya chocolate halafu sijajikoboa Niko gado ila Kwa Sasa Sina huo muda humu nahao masingle baba's .Vijana wa JF wao wanahitaji Mwanamke mwenye sifa hizi
Umbo namba nane
Degree au masters
Uwe stable financially
Uwe mcha Mungu
Usiwe single mother
Uwe Mweupe bila mkorogo
Ukiona una sifa hizo Bado Ngoma ngumu fahamu umerogwa
Na siku hizi vijana wanazidi kutoboa ndo wanawakimbia wanawake
Marrige is scam
Nachukia mtu mwenye mtoto mwanaume akishaazaa na mtu kero tuBasi hakuna haja ya hii thread, tuendelee kuwa single kama hakuna kupendana.
JF Kila mwanamke taken Kila mwanaume yupo single isipokuwa DeepPondHapa JamiiForums kupitia huu uzii kwanini upo single na huolewi au huoi tatizo nini.
Umelogwa au mvivu wakutafuta mpenzi serious .
Maana humu wadar ni wengi na wanasifa zote wadada wanazotaka shida nini?
Maelfu ya wanajJF wa kiume ni single wamejenga wanajitahidi kupanda chart wengine wanamkaribia Dangote shida nini unataka kuzikwa na magari yako yote na wanawake wa kila rangi na umbo wamo humu na wadada shida nini mnakwama wapi?
Tafuta Mtu mzima age Kuanzia 50+ ndo utafanikiwa kirahisiMi niumbo namba SITA na Sina degree yanini mwanamke ,mi Rangi ya chocolate halafu sijajikoboa Niko gado ila Kwa Sasa Sina huo muda humu nahao masingle baba's .
Ila zamani nilitaka mtu asiye na moto , tajiri anaphd na bado hajaoa hata mara Moja .
Basiii na awe kajenga Jenga sio ndani ya nchi tu njee sipendi aliyenakitambi naipenda six pax ila Sasa Wala siitaki nipo single sienjoy ila kiasi Fulani naenjoy
Jamani hapana kipenzi ni kwamba tu nimemzoea kumtania DeepPond ni mume wa mtu na anamchepuko ujueJF Kila mwanamke taken Kila mwanaume yupo single isipokuwa DeepPond
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inatokea pale mama wa huyo mtoto akiwa anasumbua, wivu ndo unapoanzia. Ila wengine mbona wako poa tu. Cha muhimu ni kuwa wakweliNachukia mtu mwenye mtoto mwanaume akishaazaa na mtu kero tu
HapanaHii inatokea pale mama wa huyo mtoto akiwa anasumbua, wivu ndo unapoanzia. Ila wengine mbona wako poa tu. Cha muhimu ni kuwa wakweli