Tusaidianeni kwa hili

Tusaidianeni kwa hili

Hapa JamiiForums kupitia huu uzii kwanini upo single na huolewi au huoi tatizo nini.

Umelogwa au mvivu wakutafuta mpenzi serious .

Maana humu wadar ni wengi na wanasifa zote wadada wanazotaka shida nini?

Maelfu ya wanajJF wa kiume ni single wamejenga wanajitahidi kupanda chart wengine wanamkaribia Dangote shida nini unataka kuzikwa na magari yako yote na wanawake wa kila rangi na umbo wamo humu na wadada shida nini mnakwama wapi?
mimi nipo single kwa sababu ww hautaki kujibu text zangu PM
 
Vijana wa JF wao wanahitaji Mwanamke mwenye sifa hizi

Umbo namba nane
Degree au masters
Uwe stable financially
Uwe mcha Mungu
Usiwe single mother
Uwe Mweupe bila mkorogo

Ukiona una sifa hizo Bado Ngoma ngumu fahamu umerogwa


Na siku hizi vijana wanazidi kutoboa ndo wanawakimbia wanawake

Marrige is scam
Mi niumbo namba SITA na Sina degree yanini mwanamke ,mi Rangi ya chocolate halafu sijajikoboa Niko gado ila Kwa Sasa Sina huo muda humu nahao masingle baba's .

Ila zamani nilitaka mtu asiye na mtoto , tajiri anaphd na bado hajaoa hata mara Moja .


Basiii na awe kajenga Jenga sio ndani ya nchi tu njee sipendi aliyenakitambi naipenda six pax ila Sasa Wala siitaki nipo single sienjoy ila kiasi Fulani naenjoy
 
Hapa JamiiForums kupitia huu uzii kwanini upo single na huolewi au huoi tatizo nini.

Umelogwa au mvivu wakutafuta mpenzi serious .

Maana humu wadar ni wengi na wanasifa zote wadada wanazotaka shida nini?

Maelfu ya wanajJF wa kiume ni single wamejenga wanajitahidi kupanda chart wengine wanamkaribia Dangote shida nini unataka kuzikwa na magari yako yote na wanawake wa kila rangi na umbo wamo humu na wadada shida nini mnakwama wapi?
JF Kila mwanamke taken Kila mwanaume yupo single isipokuwa DeepPond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi niumbo namba SITA na Sina degree yanini mwanamke ,mi Rangi ya chocolate halafu sijajikoboa Niko gado ila Kwa Sasa Sina huo muda humu nahao masingle baba's .

Ila zamani nilitaka mtu asiye na moto , tajiri anaphd na bado hajaoa hata mara Moja .


Basiii na awe kajenga Jenga sio ndani ya nchi tu njee sipendi aliyenakitambi naipenda six pax ila Sasa Wala siitaki nipo single sienjoy ila kiasi Fulani naenjoy
Tafuta Mtu mzima age Kuanzia 50+ ndo utafanikiwa kirahisi
 
Back
Top Bottom