Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

Pre GE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Nilikuwa napitia pitia CV za wabunge hapa wakuu.

Hawa ndio wabunge, ambao wana degrees na masters kutokea kwenye hicho chuo cha Open University:

  • Assenga Abubakar Damian – Mbunge wa Kilombero – Bachelor of Arts in Political Science
  • Innocent Bashungwa – Mbunge wa Karagwe – Masters of International Affairs (2016-2020)
  • Oscar Ishengoma Kikoyo – Mbunge wa Muleba Kusini – PhD, Open University
  • Ndaisaba Ruhoro – Mbunge wa Ngara – Masters in Project Management
  • Flaurent Laurent Kyombo – Mbunge wa Nkenge – MBA, Open University
  • Geofrey Mizengo Pinda – Mbunge wa Kavuu – Bachelor's Degree
  • Sebastian Simon Kapufi – Mbunge wa Mpanda – Bachelor's in Law
  • William Lukuvi – Mbunge wa Ismani – Masters in Political Science
  • Davidi Kihenzile – Mbunge wa Mufindi Kusini – LLB
  • Joseph Mkundi – Mbunge wa Ukerewe – MBA


Hawa ni wachache tu, naamini kuna wengi ambao wamesoma kwenye hicho chuo.

Swali langu ni kwanini wabunge wengi wamepata degrees na masters kwenye hicho chuo?

Ndio kusema kwamba hiki chuo kina hadhi kuliko UDSM au kupata degree hapo ni rahisi?
Na Waziri Mkuu Majaliwa amefanya Masters ya Open University, japo wengi wanadai ni ya Mchongo 😂😂😅😅🤣🤣🤣🚴🚴🚴
 
Na Waziri Mkuu Majaliwa amefanya Masters ya Open University, japo wengi wanadai ni ya Mchongo 😂😂😅😅🤣🤣🤣🚴🚴🚴
GkdcXuyXYAAKbYg.jpeg
 
Back
Top Bottom