Tusalimiane kinyumbani!

Unajidai Mreno kumbe Msukuma ha ha ha haaaa!!![/QUOTE
Ahahahaha, mim ni msukukuma by nature ndugu wala sio uongo! Ila hiyo kujidai umesema, mimi ninachofanya nikuonyesha tu upande wa pili wa mawasiliano mbali na kisukuma ngosha
 
Mwabhoka? Ulimajhe?
(wasonjo hao mitaa ya digodigo, muhoro hadi tinaga)
 
Mwalayealentbrain, post: 15556519, member: 19174"]Mwakeye! Mwalaye[/QUOTE]
Mwalayeee! ilakoze chane
 
hahahaa! Nilifikiri unamwita Ntuzu wa the blues.
Mfalme umekimbia jukwaa lenu. Hiyo ni habari ya asubuhi kwa luga ya kwetu. Jamii yetu ina watu 250 iko kweye hatari ya kutoweka.
 
C
Habari za Asubuhi! Kwa utamaduni wetu sisi waafrika,asubuhi kama hii baada ya kuamka salama na kumshukuru muumba,kupeana salam wengine hawana raha kama hii...nisiwachoshe we tupia salaam ya kwenu naamini humu utajibwa tu.Mimi naanza Nam_nani....
Ched, ulewedi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…