Tusalimiane kinyumbani!

Tusalimiane kinyumbani!

Unajidai Mreno kumbe Msukuma ha ha ha haaaa!!![/QUOTE
Ahahahaha, mim ni msukukuma by nature ndugu wala sio uongo! Ila hiyo kujidai umesema, mimi ninachofanya nikuonyesha tu upande wa pili wa mawasiliano mbali na kisukuma ngosha
 
Mwabhoka? Ulimajhe?
(wasonjo hao mitaa ya digodigo, muhoro hadi tinaga)
 
Mwalayealentbrain, post: 15556519, member: 19174"]Mwakeye! Mwalaye[/QUOTE]
Mwalayeee! ilakoze chane
 
C
Habari za Asubuhi! Kwa utamaduni wetu sisi waafrika,asubuhi kama hii baada ya kuamka salama na kumshukuru muumba,kupeana salam wengine hawana raha kama hii...nisiwachoshe we tupia salaam ya kwenu naamini humu utajibwa tu.Mimi naanza Nam_nani....
Ched, ulewedi?
 
Back
Top Bottom