Tuseme tu ukweli, ujenzi unahitaji kujinyima sana

Tuseme tu ukweli, ujenzi unahitaji kujinyima sana

Kwenye ufundi bwana mimi sijawahi ona Nyumba inabomoka kwa sababu ufundi mbovu. Tumeishi huko mikoani nyumba zinajengwana mafundi very local. Tangu nizaliwe na sasa nazeeka sijawahi ona.

Ujenzi ni standards za wastani hakuna haja ya mbwembwe na gharama kubwa. Unless kama unajenga ghorofa
Hahahah unakuta nyumba ina bonge la crack lakini watu wanaishi humo miaka, labda lije tetemeko. Mimi msingi wa nyumba yangu ni mawe, lita ni nondo 4 za 12mm tofali nilifyatua na kuzipiga maji mwenywe yaani tofali hata kutoboa na drill inapata tabu, msumari hauingii lakini naona crack sehemu nyingi kutokana na jua pamoja na movement of soil, udongo kwangu ni wa mfinyanzi unapasuka sana kiangazi.
 
Ulikosea mkuu wenzako wanakimbia vichuguu wewe unahamishia ndani?

Hata mimi nilikutana na changamoto ya mchwa sasa namna ya kuwathibiti fanya hivi,nunua sumu ya mchwa tafuta watu wanaohusika na fumigation kabla hujamwaga jamvi (ile zege ya kupokelea tiles) wamwagie nyumba nzima kisha jamvi lije juu.

Kisha kila baada ya muda fulani let say mwaka ½ unanunua tena sumu ita mtu achimbe pembeni ya ukuta kwa nje nyumba nzima kiasi cha fut 1 kwenda chini amwage mchanga (huu wa kujengea) kisha amwage sumu juu yake then udogo kufunika.

Ni mazingira yameshakuwa hivyo huna namna ya kufanya.
Shukran mzee...hapa napiga madawa mpaka wataelewa...na rough flor napiga zege.. wakitoboa hapo wao wanaume...

Kichuguu nimefata unafuu bro msingi ni mkubwa...bila kichuguu ningetumia million na ushee kukijaza... Ila kwa kivhuguuu nimetumia laki 4 tu...

Hapa cha msingi ni kukabiliana nao tu.. madogo yao local tu sio gharama.

Kuna iyo ta nchwa ya maduka ya kilimo. Oil chafu,chumvi, zege, dawa za asili, n.k

Watanyooka tu.. ni man to man
 
Wadau bomba kama hizi au za aina hii kwa ajili ya kingo za ngazi au balcony au urembo naweza kuzipata kwa shn
Ngap ngapa kwa vipimo tofaut.. huku mkoani hakuna kabisa
IMG-20211108-WA0024.jpg
 
nyumba imenipiga hela Hadi akili imenikaa sawa japo nina farijika na nilicho fanya sahiv nmebakiza tiles na aluminium vifaa vimepanda bei knoma hesabu tu ya tiles inihitaji 4M na point huko dah bado dirisha za aluminium zimefumuka nazo bei Yan sahiv serekali inatufanya tuwe maskini zaid
 
nyumba imenipiga hela Hadi akili imenikaa sawa japo nina farijika na nilicho fanya sahiv nmebakiza tiles na aluminum vifaa vimepanda bei knoma hesabu tu ya tiles inihitaji 4M na point huko dah bado dirisha za aluminum zimefumuka nazo bei Yan sahiv serekali inatufanya tuwe maskini zaid
Al.sa hiv km mbao tu mzee bomba ukipiga frem moja bei kama za mninga
 
Hapa pana shida,huyu wa laki9 hiyo dificit 2.1 mill ataitoa wapi?

Unapochuja mafundi uchuje kwa akili utakuja kukutana na mafundi wa bei rahisi wakupige materials mpaka uchanganyikiwe,binafsi naamini (kama ni Dar) huyu wa mill tatu yupo kwenye nafasi nzuri ya kufanya kazi yenye ubora maana anaonekana anajua anachokifanya.

Iringa mkuu
Hapana milin mbili Hapana sitoi hata iwaje.
Huyu mwingine kasema ananionesha site alizofanya nizione,mkuu lazima ukubali kuna mafundi wazur sema hawana majina
 
nyumba imenipiga hela Hadi akili imenikaa sawa japo nina farijika na nilicho fanya sahiv nmebakiza tiles na aluminium vifaa vimepanda bei knoma hesabu tu ya tiles inihitaji 4M na point huko dah bado dirisha za aluminium zimefumuka nazo bei Yan sahiv serekali inatufanya tuwe maskini zaid
Hongera kwa kufika huko
 
Sitasahau wakati najenga msingi, niliporudi site jioni, nikakuta wamemwaga zege kwenye nguzo na imekaa upande, nikasema mbona nguzo hii sijaielewa, fundi uchwara akaniambia ikikauka tutatindua kidogo tu inakaa squire. Nikasema hapana, nikamtafuta fundi mmoja alikuwa anajenga site nyingine jirani kabisa na kwangu, tukakubaliana tubomoe inawezekana chini hakusuka kitako na kumwaka zege la uji, kufukua tukakuta jamaa kakunja nondo akaizamisha kwenye udongo dadeki!! Nikampigia fundi akaja kuona uozo wake, nilimfyatua na mkanda begani akainama nikalala naye chini alikula kipigo cha mbwa Koko hatasahau.
Mimi nimebadili mafundi mara 4 kuanzia msingi na BOMA yaani wasumbufu na wengine ni uchwara nafukuza ila uwa nakuwa makini kwenye pesa,fundi akiomba pesa kadhaa mpe sound apige Kazi au unampa kiduchu maana unampa nyingi afu anapotea.
 
Aisee nimefukia mil.5 kwenye BOMA tuu bajeti imeenda nje ya makadirio.

nilitaka nipaue nimeghairi kwanza maana unamwaga mil.12 hadi kupaua lakini huwezi kuhamia ,bora kujenga kwa stage kama sio pedeshee
Hizo gharama za Boma ni jumuisho la ufundi na materials????
 
Mimi nimebadili mafundi mara 4 kuanzia msingi na BOMA yaani wasumbufu na wengine ni uchwara nafukuza ila uwa nakuwa makini kwenye pesa,fundi akiomba pesa kadhaa mpe sound apige Kazi au unampa kiduchu maana unampa nyingi afu anapotea.

Hii habari ndio napitia kwa wakat huu nahisi hadi boma langu liishe ntakua nimebadili mafundi kama watatu ,fundi wa kwanza nimempa apandishe tofali kozi saba amepandisha ila kuna mapungufu kibao imebidi nibadili fundi sasa nipo namsikilizia huyu wa sahivi,hiki kitu kinaumiza sana unapoteza mda na pesa wakati mwingine
 
Back
Top Bottom