Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Hakina matukio makubwa ambayo media zitafanya coverage kubwa. Ila kipo kitambo tu na maisha yanaenda. Papa potwe ndiyo alama yake. Maana ni kiumbe anayepatikana hapo tu.Leo baada ya kuona video ikionesha madhara ya kimbunga Hidaya ndio nikajiuliza hivi kisiwa cha Mafia kwa shughuli za Serikali kila siku zinazofanyiwa kikazi upande wa Mafia mbona kama ni kimya sana.
Wajuzi
Achana na mafia kuna wilaya inaitwa liwale,huko ni zaidi ya mafiaLeo baada ya kuona video ikionesha madhara ya kimbunga Hidaya ndio nikajiuliza hivi kisiwa cha Mafia kwa shughuli za Serikali kila siku zinazofanyiwa kikazi upande wa Mafia mbona kama ni kimya sana.
Wajuzi
Liwale ipi mkuu au unazungumzia liwale ya 1945? Niko huku kitambo ,kula nyama pori kwa sana tuAchana na mafia kuna wilaya inaitwa liwale,huko ni zaidi ya mafia
Huko ndio pananifaaLiwale ipi mkuu au unazungumzia liwale ya 1945? Niko huku kitambo ,kula nyama pori kwa sana tu
Raha ya k uione, uiguse, uinawe, uinuse. Ndiouendelee mbele....View attachment 2980714unguja hukuu nimechokaaa jmn..madem wanakaza fuvuuu ataree
Hata hii ya sasa,kipindi cha masika hakufikiki,ni wilaya iliyotengwa miundombinu hovyo.Liwale ipi mkuu au unazungumzia liwale ya 1945? Niko huku kitambo ,kula nyama pori kwa sana tu
Huku ni nyama pori tu ,gruwe pori mzima 10,000Huko ndio pananifaa
Sijafika mafia ila ukerewe pako poa sana,boti sijui meli za kutokea mwanza ni nyingi sana kila muda zipo teleKwani Ukerewe unasikia nini?
Ndivyo kawaida visiwa huwa hivyo.
Wewe utakuwa na tabia za kibeberu, haya mambo ya kunusa k, umeyatoa wapi?Raha ya k uione, uiguse, uinawe, uinuse. Ndiouendelee mbele....