MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,679
- 1,612
Kwani Mafia na Liwale wanacgangia mini ktkt uchumi WA taifa hili? TRA Tu mwaka Jana Lindi ilikuwa ya mwisho walikusanya kama 10 bilioni wakati Arusha bila utalii walikusanya 540 bilioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ni mwendo wa kulenga tuu hakuna hata romance...Mudy haruhusu?View attachment 2980714unguja hukuu nimechokaaa jmn..madem wanakaza fuvuuu ataree
LIWALE - korosho, ufuta, mbaazi nk ni mazao ya biashara yanaingiza pato kubwa sanaKwani Mafia na Liwale wanacgangia mini ktkt uchumi WA taifa hili? TRA Tu mwaka Jana Lindi ilikuwa ya mwisho walikusanya kama 10 bilioni wakati Arusha bila utalii walikusanya 540 bilioni
Sehemu hazifanani mkuu haiwezekani kila mkoa ukachangia mapato sawa.Kwani Mafia na Liwale wanacgangia mini ktkt uchumi WA taifa hili? TRA Tu mwaka Jana Lindi ilikuwa ya mwisho walikusanya kama 10 bilioni wakati Arusha bila utalii walikusanya 540 bilioni
Mkuu nitakuja kutembea huko mwezi ujao, ngoja nianze likizo 😋Huku ni nyama pori tu ,gruwe pori mzima 10,000
Garama zake zikoje mkuu I mean go and return fare?Mafia kwenda kwa ndege ni salama kuliko boat
Hadi watumishi wa halimashauri hupanda ndege kutokea dar, namaanisha walimu,manesi, nk
175,000/= one wayGarama zake zikoje mkuu I mean go and return fare?
Ok mkuu na usafiri wa boat je? Na vipi transport fare za boats from Dar harbour to Mafia?175,000/= one way
Usafiri wa kwenda mafia unaanzia nyamisati Gari zipo mbagala pale, Nauli itakuwa imefika elfu 10 kwa sasa, mara ya mwisho nimeenda mafia ilikuwa elfu 5, Nauli ya Kivuko ilikuwa elfu Ishirini inaweza kuwa imefika 25000 kwa sasa, muda wa kivuko kwenda mafia ni saa kumi jioni, Mafia kuzuri mno hasa upande wa beach...Wazungu tele,wanakimbia wazee wa kudenga Zenji,Wanaenda kutulia mafiaOk mkuu na usafiri wa boat je? Na vipi transport fare za boats from Dar harbour to Mafia?
Aaah usafiri unaanza jioni? That means mnasafiri usiku baharini right? How long does it take from hapo Nyamisati to kisiwani Mafia mkuu?Usafiri wa kwenda mafia unaanzia nyamisati Gari zipo mbagala pale, Nauli itakuwa imefika elfu 10 kwa sasa, mara ya mwisho nimeenda mafia ilikuwa elfu 5, Nauli ya Kivuko ilikuwa elfu Ishirini inaweza kuwa imefika 25000 kwa sasa, muda wa kivuko kwenda mafia ni saa kumi jioni, Mafia kuzuri mno hasa upande wa beach...Wazungu tele,wanakimbia wazee wa kudenga Zenji,Wanaenda kutulia mafia
Usafiri wa kwenda mafia ni shida sana si ndege si boti.
Vindege vinavyoenda ikifika katikati ya bahari huwa vinayumba hatari.
Boti sijui kivuko kile unaweza panga safari week usitoboe pale Nyamisati.
Kihalali au porcherLiwale ipi mkuu au unazungumzia liwale ya 1945? Niko huku kitambo ,kula nyama pori kwa sana tu
Kwani tunazungumzia usafiri wa kwenda Mafia?Sijafika mafia ila ukerewe pako poa sana,boti sijui meli za kutokea mwanza ni nyingi sana kila muda zipo tele
Mafia imetoa Naibu waziri wa Elimu ndugu Kipanga.Aaah usafiri unaanza jioni? That means mnasafiri usiku baharini right? How long does it take from hapo Nyamisati to kisiwani Mafia mkuu?
Ukiwa nansiio unaweza kusema hauko kisiwani,kuna vibe la kutosha sana tuKwani tunazungumzia usafiri wa kwenda Mafia?
Umesema kisiwa kipo kimya husikii hili wala lile.