Tuseme ukweli tu, Hayati Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais

Tuseme ukweli tu, Hayati Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais

Roho mbaya na isiyo ya kistaarabu ndiyo imemfikisha huko aliko.
Kampuni nyingi za wazalendo (contractors, Engineering Cosultancy, Quantity Surveyors na Architects) waliokuwa wakiajiri watu wengi na kulipa kodi stahiki, zimefungwa toka Awamu ya 5.
naunga mkono hoja
 
Nchi hii tatizo lilianzia kwa akina mkapa kutuletea mwenyekiti wa chama ambaye hajawahi kuwa hata Kiongozi wa Shina
Kweli kabisa.
Prof Mwandosya aliwahi kuhoji, huyu mtu hakijui chama, hajawahi hata kuwa kiongozi ngazi ya kata.
Alinangwa kisawasawa.
Matokeo tumeyaona tungali hai.
 
Na Hadi Leo nyingi bado zimefumgwa. Mimi Ni muathirika wa hii regime ya Magufuli, Ni mdau sekta ya ujenzi ndani ya utawala wake mambo yalipoanza kuwa magumu, nikakimbilia kwenye kilimo, wee nilichokutana nacho Mungu anajua. Yaani Magufuli sitamsahau, nilipoteza almost mtaji wangu wote na Sasa najikongoja kuanza upya na uzee ndiyo unapiga hodi kwa Kasi.
Asante mdau mwenzangu.
Haya mambo halisia wengi hawayajui tulivyoumizwa na huyu Ibilisi.
 
"Unafikiri"??
Haya ndio madhara ya vyeti feki, yani mpo wawilitu kwenye huu uzi kama wachawi mnapokezana kulialia.

Mnaonge mambo yasio nakichwa wala miguu, mambo yasiyo eleweka na wajinga wenzenu wanawasapoti.

Wakati unaongea upumbavu kuhusu ujenzi watu wanaona reality ubungo,sarenda,kimara mail moja,stand za kisasa nchi nzima, bwawa la umeme,daraja la busisi,standard gauge,daraja la mto wami,Kilwa road, tazara hispital zaidi ya mia tatu,namengine mengi ambayo pamoja aakili zenu ndogo mnayajua.

Mtakufa na stress nyie vichwamaji somesheni watotowenu vyeti feki vimewaumiza zana.
Hayo uliyotaja ukiacha Ubungo kuna mradi hata mmja umekamilika au aliishia kuweka Jiwe la msingi tuu Ili apate sifa za wanyonge kwa miaka 6?

Mbona Samia kafanya mengi zaidi ya hayo kwa mwaka wake mmja?
 
Naomba mwenye rekodi kama hizi hapa chini za Mwendazake aniwekee 👇

Screenshot_20220310-191102.png


Screenshot_20220310-070512.png


Screenshot_20220327-172335.png


Screenshot_20220328-115637.png


Screenshot_20220410-090506.png


Screenshot_20220411-144042.png


Screenshot_20220416-065936.png


Screenshot_20220415-064911.png
 
Asante mkuu kwa mfano mwingine hai.
Kuna wafaidika wa upendekeo, dhuluma, ubambikaji kesi na uvurugaji wa sekta ya ujenzi.
Watu wanafikiri tunamnanga tu Magufuli, kuna watu wamekufa kutokana na presha wakiona nyumba zao zinanadiwa.
Sasa hao watamsifu vipi sijui Magufuli.
Kazi ya Jiwe na Wazalendo uchwara wenzake hii hapa 👇

Screenshot_20220416-101719.png


Screenshot_20220416-101843.png


Screenshot_20220414-075556.png
 
Mkuu umepata jibu Kebbys Hotel ya nani?
Hayo ni majukumu ya Brela mkuu, mhusika anafahamika akitaka kujua.

Ni sawa mtu akuulize mwenye Simba Energy, GSM, Lake Oil, IPTL na Richmond ni nani majibu ni rahisi tu na wamiliki wapo kwenye data base za Brela information ambayo ipo for public use.
 
Hayo uliyotaja ukiacha Ubungo kuna mradi hata mmja umekamilika au aliishia kuweka Jiwe la msingi tuu Ili apate sifa za wanyonge kwa miaka 6?

Mbona Samia kafanya mengi zaidi ya hayo kwa mwaka wake mmja?
Ukisikia mama anasema Kazi iendelee kunakitu unachoelewa ama unatumbua machotu.

Taja miradi ambayo magu aliwekatu jiwe la msingi na ambayo haikuanza katika utawalawake, ama unazungumzia jiwe la msingi la bandari ya bagamoyo.

Chekecha ubongowako kidogo.
 
mnapambana sana kumchafu jemedari lakin kwa kazi aliyoipiga hamuwezi enedeleeni kuimba wimbo wenu wa anaupiga mwingi tutakutana 2025
Kazi gani? Kujenga tudaraja huto?
 
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kubwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!

Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
Jiwe alikuwa mhalifu na mharibifu
 
Hayo ni majukumu ya Brela mkuu, mhusika anafahamika akitaka kujua.

Ni sawa mtu akuulize mwenye Simba Energy, GSM, Lake Oil, IPTL na Richmond ni nani majibu ni rahisi tu na wamiliki wapo kwenye data base za Brela information ambayo ipo for public use.
Jibu unalijua fika lakini unamficha mfaidika mwenza wa upendeleo , ufisadi na ukabila.
 
Ukisikia mama anasema Kazi iendelee kunakitu unachoelewa ama unatumbua machotu.

Taja miradi ambayo magu aliwekatu jiwe la msingi na ambayo haikuanza katika utawalawake, ama unazungumzia jiwe la msingi la bandari ya bagamoyo.

Chekecha ubongowako kidogo.
Acha kuropoka bila kusoma na kuelewa.Kasome upya comment yangu ndio uje kuchangia..
 
Hayo uliyotaja ukiacha Ubungo kuna mradi hata mmja umekamilika au aliishia kuweka Jiwe la msingi tuu Ili apate sifa za wanyonge kwa miaka 6?

Mbona Samia kafanya mengi zaidi ya hayo kwa mwaka wake mmja?
Hata Ubungo haijakamilika.
Ameacha vilio na vifo watu kubomolewa bila fidia.
 
Back
Top Bottom