Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkibishana miradi ya ujenzi muwage na akili basi.Ungetutajia miradi 3 ambayo mlipewa mkaikamilisha...lazima wakandarasi wajiunge pamoja na kutengeneza makampuni yenye uwezo wa kupokea kazi...lazima tukubali kuwa wakandarasi mnahitaji kubadili mindset zenu kwanza ..ili kushinda tenda...mbona Estim wanapqta kazi na kupiku makampuni ya nje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa East Africa Tanzania tunaweza kuwa tunaongoza kwa kuwa na barabara nyingi substandard.Poleni mnaona mabaya tu mazuri yake hamyaoni barabara nyingi mnapita ila ni usimamizi wake thabiti ndo mnaziona mnajifanya hamuoni hata huko vijijini wazee wetu wanawasha umeme kwa bei chee vitu bei ilipungua ila sasa viko juu bado mnamsema yule mzee kwa mapungufu yake madogo wakati tz hata wakenya walianza kuogopa tutawapita ila sasa wanatucheka sana kwamba hatuna kiongozi mwenye vision.
Akili ndogo inasababisha ubinafsiSijaajiriwa na babaako.
Nimejiajiri ili tumbo lishibe.
Sasa ninyi mnaotegemea kodi ili mle tualikeni kula basi maana jomba lenu lenye roho mbaya limetueeka kijiweni.
Kumbe nawe ni mpuuzi!Kumnang'a ×
Kumnanga ✓
Punguza panic sukuma gang, au ni kweli kwamba ulikuja Tanzania kutoka nchi iliyopakana na Kigoma baada ya mjomba yako kupata Urais?
Hii akili yangu ndogo ni kubwa kuliko yako.Akili ndogo inasababisha ubinafsi
Acha ubinafsi ndiyo maana unahangaika na micro issues badala ya macro issues.Hii akili yangu ndogo ni kubwa kuliko yako.
Na ubinafsi na roho mbaya kinara ni jamaa yako.
Na baada ya hapo jibu hoja siyo kubwabwaja tu.
Micro issues badala ya macro issues.Acha ubinafsi ndiyo maana unahangaika na micro issues badala ya macro issues.
Alivuruga uchumi jumla wala sio sekta ya ujenzi pekee.Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.
Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.
Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kuwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.
Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!
WACHA!
Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.
Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.
Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.
Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.
Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.
Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.
Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.
Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
Kitu hujui ulizaMicro issues badala ya macro issues.
Pole mzee wa kukariri.
Jomba lako lilitutesa.
Una tabia zile zile za Mwendazake, kujitia kujua.Kitu hujui uliza
PoleUna tabia zile zile za Mwendazake, kujitia kujua.
Wengi tunafuatilia.
Moja ya watu wa hivyo Sana kuwahi kuwa Rais..Sio ujenzi tu, kavuruga taifa zima fisadi papa yule.
All signs of a Dictator.Moja ya watu wa hivyo Sana kuwahi kuwa Rais..
Nchi ilirudi nyuma Sana kiuchumi hasa sekta binafsi na alizalisha tatizo kubwa la unemployment na machinga mitaani..
Bado haikuwa tiketi inayomruhusu kufanya ufisadi. Ni kwamba jamaa alikuwa mbinafsi, katili na anataka apate peke yake. Rot in Hell Magufulipamoja na yote hayo…Hayati John Magufuli ndio Mtanzania aliehusika moja kwa moja na masuala ya ujenzi wa miundombinu kuliko Raia yeyote yule
kwa Hayati Benjamin Mkapa alihudumu Kama Naibu wa ujenzi maika 5 na kama waziri kamil kwa miaka mitano…
kwa Jakaya kahudumu kama Waziri wa Ujenzi 5 years
kama Rais kahudumu kama Rais was Ujenzi 6 years
kwa ujumla kahudumu kwa miaka 21 na kafanya kazi kubwa Sana
Ha ha ha!Kitu hujui uliza