Tuseme ukweli tu, Hayati Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais

Tuseme ukweli tu, Hayati Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais

Poleni mnaona mabaya tu mazuri yake hamyaoni barabara nyingi mnapita ila ni usimamizi wake thabiti ndo mnaziona mnajifanya hamuoni hata huko vijijini wazee wetu wanawasha umeme kwa bei chee vitu bei ilipungua ila sasa viko juu bado mnamsema yule mzee kwa mapungufu yake madogo wakati tz hata wakenya walianza kuogopa tutawapita ila sasa wanatucheka sana kwamba hatuna kiongozi mwenye vision.
Jamaa alikuwa anajenga barabara kwa wingi kanda ya ziwa tu.
Kwingine ilikuwa kama kujazia jazia.
Hapa Mbeya barabara kuu kwenda Zambia iko vile vile toka enzi ya Mwalimu.
Pale Mbalizi ni vifo kila mwezi utafikiri Magufuli hakuiona miaka 20 aliyokuwa Ujenzi.
Watu wskisema Magufuli alikuwa mkabila na upendeleo hamuoni, hamsikii.
 
Mada ya kitumbafu sana hii.

Wachangiaji hawajazidi ID tatu wanachangia na kujijibu wenyewe.
 
Sio tena mayanga bali ni suma jkt [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uko
pamoja na yote hayo…Hayati John Magufuli ndio Mtanzania aliehusika moja kwa moja na masuala ya ujenzi wa miundombinu kuliko Raia yeyote yule

kwa Hayati Benjamin Mkapa alihudumu Kama Naibu wa ujenzi maika 5 na kama waziri kamil kwa miaka mitano…

kwa Jakaya kahudumu kama Waziri wa Ujenzi 5 years

kama Rais kahudumu kama Rais was Ujenzi 6 years

kwa ujumla kahudumu kwa miaka 21 na kafanya kazi kubwa Sana
Uko sahihi kabisaa kwa kazi za kusimamiwa hakuwa na shida . Ila hakufaa kuwa mtoa maamuzi mkuu.(Rais)
 
M
Hili ndilo tatizo la watanganyika wengi,kila mtu anaitazama Serikali imwajili au imugawie kazi,akuna mtu mwenye ubunifu wa wasomi kujitajitafutia, mbona enzi za Mkapa na Kikwete hao wakandarasi walikuwa wanapata tenda mwisho wanazigawa kwa wageni wao wanapata 10/% uzuri wa Magufuri alikuwa anajua ukweli wote,hivo alivyoingia hakuangaika Sana hakaamua kazi kubwa awape tasisi za Serikali ili mtu akiboronga hatambana kwa sheria za utumishi,sio hao watu binafisi akibanwa anakimbilia mahakamani kupoteza mda, ndio maana Magufuri amefanya Mambo mengi kwa mda mfupi.
Magufuli aliogopa mahakama ipi hapa Tanzania???
 
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kuwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!

Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.

Hakuna alipopatia maana alikuwa ni roho la uharibifu. Alichofanikiwa kwa uhakika ni kupandikiza woga na unafiki wa wazi.
 
Hili ndilo tatizo la watanganyika wengi,kila mtu anaitazama Serikali imwajili au imugawie kazi,akuna mtu mwenye ubunifu wa wasomi kujitajitafutia, mbona enzi za Mkapa na Kikwete hao wakandarasi walikuwa wanapata tenda mwisho wanazigawa kwa wageni wao wanapata 10/% uzuri wa Magufuri alikuwa anajua ukweli wote,hivo alivyoingia hakuangaika Sana hakaamua kazi kubwa awape tasisi za Serikali ili mtu akiboronga hatambana kwa sheria za utumishi,sio hao watu binafisi akibanwa anakimbilia mahakamani kupoteza mda, ndio maana Magufuri amefanya Mambo mengi kwa mda mfupi.

Alifanya mambo mengi kwa muda mfupi maana alikuwa analipua ili kusaka sifa za kisiasa.
 
Jibu swali mkuu!
Anajidai kukwepa swali.

Wajuvi walishamfukunyua toka miaka mingi

 
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kuwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!

Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
Mbona nanyinyi hamsemi mlivyoharibu ujenzi nchini. Karibu kila mradi ulikua chini ya kiwango na upo overprice. Barabara za mitaani ikija msimu mmoja tu wa mvua zote hazitamaniki. Miradi mingi pia ilikua haikamiliki kwa wakati na hela zinaliwa. Jamaa alivyokuja na hiyo approach tuliona mabadiliko makubwa sana kwenye sekta ya ujenzi nchini. Kiufupi hakuna kitu mlikua mnafanya zaidi ya upigaji. Sasa Magufuli hayupo rudini tena mitamboni bussiness as usual.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Mbona nanyinyi hamsemi mlivyoharibu ujenzi nchini. Karibu kila mradi ulikua chini ya kiwango na upo overprice. Barabara za mitaani ikija msimu mmoja tu wa mvua zote hazitamaniki. Miradi mingi pia ilikua haikamiliki kwa wakati na hela zinaliwa. Jamaa alivyokuja na hiyo approach tuliona mabadiliko makubwa sana kwenye sekta ya ujenzi nchini. Kiufupi hakuna kitu mlikua mnafanya zaidi ya upigaji. Sasa Magufuli hayupo rudini tena mitamboni bussiness as usual.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Hayo maneno popote pale ukiyasikia ni ya wanasiasa uchwara wasiojua kuwa tenda za ujenzi hazitolewi kama pipi!
 
Ungetutajia miradi 3 ambayo mlipewa mkaikamilisha...lazima wakandarasi wajiunge pamoja na kutengeneza makampuni yenye uwezo wa kupokea kazi...lazima tukubali kuwa wakandarasi mnahitaji kubadili mindset zenu kwanza ..ili kushinda tenda...mbona Estim wanapqta kazi na kupiku makampuni ya nje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kuwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!

Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
Ujenzi ni eneo pana ila wewe umeegemea kwenye ujenzi wa Majengo sidhani kama TBA na Sumajkt wanajenga barabara
 
Imugaiwie ×
Imgaiwie ✓

Kujitajifutia ×
Kujitafutia ✓

Punguza panic sukuma gang.
Ujumbe imefika lakini,halafu hapa hatuko bakita ndio watu wa kunyambulisha kiswahili.Watanganyika tuache kulalamika kuwa kuwa kila kitu upewe na Serikali,umeisha pata elimu anza kuangaika, mbona makampuni Mengi ya kigeni yamekuwa humu nchi nayanapata kazi huku mtaani? tatizo watanganyika ni wizi na uzembe,anapata kazi yeye anauza ili apate 10% ale bata,kwa Magufuri huo mchezo haliujua ndio maana madon walinchukia Sana.
 
Kwenye afya ndo kunatisha watumishi wa afya miaka 5 bila ajira mpaka wengine wakawa wanalipwa buku 7 vijiweni.fikiria mtu alivyohangaika kusoma vitu vigumu na malipo yake...Samia anahitajika aajiri fululizo Kila mwaka kupunguza Hali mbaya mtaani
 
Back
Top Bottom