Tuseme ukweli tu, Hayati Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais

Tuseme ukweli tu, Hayati Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais

Ambapo yote hayo alikua anatimiza wajibu wake kwa sekta ambayo alikubali majukumu yote!!
pamoja na yote hayo…Hayati John Magufuli ndio Mtanzania aliehusika moja kwa moja na masuala ya ujenzi wa miundombinu kuliko Raia yeyote yule

kwa Hayati Benjamin Mkapa alihudumu Kama Naibu wa ujenzi maika 5 na kama waziri kamil kwa miaka mitano…

kwa Jakaya kahudumu kama Waziri wa Ujenzi 5 years

kama Rais kahudumu kama Rais was Ujenzi 6 years

kwa ujumla kahudumu kwa miaka 21 na kafanya kazi kubwa Sana
 
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kuwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
Leo tumekusoma ndiyo maana una chuki zisizo na kichwa wala miguu kwa JPM
 
Siyo sekta ya ujenzi tu,aliivuruga nchi nzima. Alaaniwe hata huko jehanam aliko
Hili ndilo tatizo la watanganyika wengi,kila mtu anaitazama Serikali imwajili au imugawie kazi,akuna mtu mwenye ubunifu wa wasomi kujitajitafutia, mbona enzi za Mkapa na Kikwete hao wakandarasi walikuwa wanapata tenda mwisho wanazigawa kwa wageni wao wanapata 10/% uzuri wa Magufuri alikuwa anajua ukweli wote,hivo alivyoingia hakuangaika Sana hakaamua kazi kubwa awape tasisi za Serikali ili mtu akiboronga hatambana kwa sheria za utumishi,sio hao watu binafisi akibanwa anakimbilia mahakamani kupoteza mda, ndio maana Magufuri amefanya Mambo mengi kwa mda mfupi.
 
Ni sredi nyingi unaanzisha za kumnang’a JPM na nyingine zikizidi huwa tunakusitua. Kumbe matumbo yenu!
Sijaajiriwa na babaako.
Nimejiajiri ili tumbo lishibe.
Sasa ninyi mnaotegemea kodi ili mle tualikeni kula basi maana jomba lenu lenye roho mbaya limetueeka kijiweni.
 
Hili ndilo tatizo la watanganyika wengi,kila mtu anaitazama Serikali imwajili au imugawie kazi,akuna mtu mwenye ubunifu wa wasomi kujitajitafutia, mbona enzi za Mkapa na Kikwete hao wakandarasi walikuwa wanapata tenda mwisho wanazigawa kwa wageni wao wanapata 10/% uzuri wa Magufuri alikuwa anajua ukweli wote,hivo alivyoingia hakuangaika Sana hakaamua kazi kubwa awape tasisi za Serikali ili mtu akiboronga hatambana kwa sheria za utumishi,sio hao watu binafisi akibanwa anakimbilia mahakamani kupoteza mda, ndio maana Magufuri amefanya Mambo mengi kwa mda mfupi.
Imugaiwie ×
Imgaiwie ✓

Kujitajifutia ×
Kujitafutia ✓

Punguza panic sukuma gang.
 
Hili ndilo tatizo la watanganyika wengi,kila mtu anaitazama Serikali imwajili au imugawie kazi,akuna mtu mwenye ubunifu wa wasomi kujitajitafutia, mbona enzi za Mkapa na Kikwete hao wakandarasi walikuwa wanapata tenda mwisho wanazigawa kwa wageni wao wanapata 10/% uzuri wa Magufuri alikuwa anajua ukweli wote,hivo alivyoingia hakuangaika Sana hakaamua kazi kubwa awape tasisi za Serikali ili mtu akiboronga hatambana kwa sheria za utumishi,sio hao watu binafisi akibanwa anakimbilia mahakamani kupoteza mda, ndio maana Magufuri amefanya Mambo mengi kwa mda mfupi.
Uongo wa mchana.
Na inaelekea unababia tu vitu ambavyo huvijui katika sekta ya ujenzi.
Makampuni ya wapiga rangi nyumba za Halmashauri, nyumba za serikali na hata ukarabati wa mitambo midogo midogo, watu gani wa nje wamekuwa sublet.

Hilo ndo eneo ambalo wajenzi wote wameumizwa.

Taasisi za serikali TBA, SUMA-JKT, na wengine , hata Idara za serikali zenyewe zinasita kuwapa kazi baada ya kuboronga pakubwa.

You cant re invent the wheel in old age, matokeo yake ni chuki na taabu tu kwa wananchi.
 
pamoja na yote hayo…Hayati John Magufuli ndio Mtanzania aliehusika moja kwa moja na masuala ya ujenzi wa miundombinu kuliko Raia yeyote yule

kwa Hayati Benjamin Mkapa alihudumu Kama Naibu wa ujenzi maika 5 na kama waziri kamil kwa miaka mitano…

kwa Jakaya kahudumu kama Waziri wa Ujenzi 5 years

kama Rais kahudumu kama Rais was Ujenzi 6 years

kwa ujumla kahudumu kwa miaka 21 na kafanya kazi kubwa Sana
Ndio maana wizi ukawa mkubwa sana, akawa anazitunza kwa bosi wa tanroad, alipodanja, bosi anaitwa kuulizwa, huu mpunga wote umeutolea wapi, serikali inautaifisha, aliposikia hivyo, presha ikapanda, akafa
 
Ndio maana wizi ukawa mkubwa sana, akawa anazitunza kwa bosi wa tanroad, alipodanja, bosi anaitwa kuulizwa, huu mpunga wote umeutolea wapi, serikali inautaifisha, aliposikia hivyo, presha ikapanda, akafa
Mkuu hao wapambe wa Magufuli hawajatueleza, alipata wapi fedha za kujenga Kebbys zHotel , jengo la ghorofa nafikiri nane au zaidi.
 
Endeleeni.

Mmeona huko hamueleweki Sasa mmehamia kwenye ujenzi.

Huku mtapigwa hadi mchakae.

Tuanchojua sisi Hayati alikuwa mtalaamu wa ujenzi nchi hii hatokaa akatokea.

Kwa hili hata mkijipa airtime zote.. hamtafanikiwa...hahaha.. kila Kona nchi hii kajenga Magufuli.
 
Lile jamaa lilikuwa na roho mbaya tu,alijenga hoja nyepesi eti ni wapigaji ukimbana tuonyeshe wanapigaje wakati sio walipaji hana majibu,

Alakaleta mbwembwe. Na uingo na upotoshaji, eti bil 10 zinatosha kujenga mabweeni, baada ya ripiti ya CAG kuonyesha ni ni bil. 54+

Amewaaminisha wapuuzi wengi eti consultants na contractors hawafai ni wezi wakati kila mwaka anapokea hela zao za registration fees and practice license fees

Uchumi umedumaa kwa kuwa hakuna flow nzuri ya pesa mtaani, force account haiwezi peleka hela mtaani, pili force account haiwezi kuza ufanisi na utaalamu kwenye ujenzi

Mbona stiglerd nasgr hakutumia force account, yale makampuni ni makubwa kea kuwa nchi zao zimeyalinda na kuyapa fursa za kujua, hapa kwetu sera zao ni kuua kampuni zinazoinukia

Bongo za watu weusi kama magufuli zina walakini

Hili jamaa lilikuwa lijinga Sana
Umenena kwa uchungu sana mkuu.
 
Endeleeni.

Mmeona huko hamueleweki Sasa mmehamia kwenye ujenzi.

Huku mtapigwa hadi mchakae.

Tuanchojua sisi Hayati alikuwa mtalaamu wa ujenzi nchi hii hatokaa akatokea.

Kwa hili hata mkijipa airtime zote.. hamtafanikiwa...hahaha.. kila Kona nchi hii kajenga Magufuli.
Zamu yako kupalilia kaburi?
 
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kuwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!

Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
KILA KITU ALIHARIBU YULE MTU
 
Poleni mnaona mabaya tu mazuri yake hamyaoni barabara nyingi mnapita ila ni usimamizi wake thabiti ndo mnaziona mnajifanya hamuoni hata huko vijijini wazee wetu wanawasha umeme kwa bei chee vitu bei ilipungua ila sasa viko juu bado mnamsema yule mzee kwa mapungufu yake madogo wakati tz hata wakenya walianza kuogopa tutawapita ila sasa wanatucheka sana kwamba hatuna kiongozi mwenye vision.
 
Back
Top Bottom