naunga mkono hojaRoho mbaya na isiyo ya kistaarabu ndiyo imemfikisha huko aliko.
Kampuni nyingi za wazalendo (contractors, Engineering Cosultancy, Quantity Surveyors na Architects) waliokuwa wakiajiri watu wengi na kulipa kodi stahiki, zimefungwa toka Awamu ya 5.
In a long run, micro affect macro. Maana yake Jiwe alikuwa anatutafuna kimtindo. Madhara yake ndiyo haya sasa.Acha ubinafsi ndiyo maana unahangaika na micro issues badala ya macro issues.
Kweli kabisa.Nchi hii tatizo lilianzia kwa akina mkapa kutuletea mwenyekiti wa chama ambaye hajawahi kuwa hata Kiongozi wa Shina
Asante mdau mwenzangu.Na Hadi Leo nyingi bado zimefumgwa. Mimi Ni muathirika wa hii regime ya Magufuli, Ni mdau sekta ya ujenzi ndani ya utawala wake mambo yalipoanza kuwa magumu, nikakimbilia kwenye kilimo, wee nilichokutana nacho Mungu anajua. Yaani Magufuli sitamsahau, nilipoteza almost mtaji wangu wote na Sasa najikongoja kuanza upya na uzee ndiyo unapiga hodi kwa Kasi.
Kweli wewe ni mtoto wa shuleNami nakiri, kila sehemu kulikokuwa na ufisadi MWAMBA MAGUFULI aliharibu na kuparudisha kwenye mstari!
Sijui alikuwa na ubongo wa aina gani? Kuna picha uwa nikiangalia nawaza mbali sana. Alivyokuwa anapokea mindege yake sijui alikuwa anajiona nani hapa duniani.Sio ujenzi tu aliharibu kila sehemu .
Hayo uliyotaja ukiacha Ubungo kuna mradi hata mmja umekamilika au aliishia kuweka Jiwe la msingi tuu Ili apate sifa za wanyonge kwa miaka 6?"Unafikiri"??
Haya ndio madhara ya vyeti feki, yani mpo wawilitu kwenye huu uzi kama wachawi mnapokezana kulialia.
Mnaonge mambo yasio nakichwa wala miguu, mambo yasiyo eleweka na wajinga wenzenu wanawasapoti.
Wakati unaongea upumbavu kuhusu ujenzi watu wanaona reality ubungo,sarenda,kimara mail moja,stand za kisasa nchi nzima, bwawa la umeme,daraja la busisi,standard gauge,daraja la mto wami,Kilwa road, tazara hispital zaidi ya mia tatu,namengine mengi ambayo pamoja aakili zenu ndogo mnayajua.
Mtakufa na stress nyie vichwamaji somesheni watotowenu vyeti feki vimewaumiza zana.
Kazi ya Jiwe na Wazalendo uchwara wenzake hii hapa 👇Asante mkuu kwa mfano mwingine hai.
Kuna wafaidika wa upendekeo, dhuluma, ubambikaji kesi na uvurugaji wa sekta ya ujenzi.
Watu wanafikiri tunamnanga tu Magufuli, kuna watu wamekufa kutokana na presha wakiona nyumba zao zinanadiwa.
Sasa hao watamsifu vipi sijui Magufuli.
Hayo ni majukumu ya Brela mkuu, mhusika anafahamika akitaka kujua.Mkuu umepata jibu Kebbys Hotel ya nani?
Ukisikia mama anasema Kazi iendelee kunakitu unachoelewa ama unatumbua machotu.Hayo uliyotaja ukiacha Ubungo kuna mradi hata mmja umekamilika au aliishia kuweka Jiwe la msingi tuu Ili apate sifa za wanyonge kwa miaka 6?
Mbona Samia kafanya mengi zaidi ya hayo kwa mwaka wake mmja?
Kazi gani? Kujenga tudaraja huto?mnapambana sana kumchafu jemedari lakin kwa kazi aliyoipiga hamuwezi enedeleeni kuimba wimbo wenu wa anaupiga mwingi tutakutana 2025
Jiwe alikuwa mhalifu na mharibifuTulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.
Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.
Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kubwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.
Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!
WACHA!
Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.
Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.
Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.
Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.
Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.
Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.
Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.
Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
Jibu unalijua fika lakini unamficha mfaidika mwenza wa upendeleo , ufisadi na ukabila.Hayo ni majukumu ya Brela mkuu, mhusika anafahamika akitaka kujua.
Ni sawa mtu akuulize mwenye Simba Energy, GSM, Lake Oil, IPTL na Richmond ni nani majibu ni rahisi tu na wamiliki wapo kwenye data base za Brela information ambayo ipo for public use.
Acha kuropoka bila kusoma na kuelewa.Kasome upya comment yangu ndio uje kuchangia..Ukisikia mama anasema Kazi iendelee kunakitu unachoelewa ama unatumbua machotu.
Taja miradi ambayo magu aliwekatu jiwe la msingi na ambayo haikuanza katika utawalawake, ama unazungumzia jiwe la msingi la bandari ya bagamoyo.
Chekecha ubongowako kidogo.
Hata Ubungo haijakamilika.Hayo uliyotaja ukiacha Ubungo kuna mradi hata mmja umekamilika au aliishia kuweka Jiwe la msingi tuu Ili apate sifa za wanyonge kwa miaka 6?
Mbona Samia kafanya mengi zaidi ya hayo kwa mwaka wake mmja?