Tuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini

Tuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini

Status
Not open for further replies.
Hapo awali yakitokea majina mengi ya Kikristo Waislam wakihoji kwanini wanaambiwa somesheni watoto wenu shule achaneni na madrasa now wamesoma sasa washaanza kuchukua nafasi point imebadilika kua ni udini.
Huwa wanajibiwa kuwa nendeni shule hamjasoma.
 
Uongo mtupu. Hamna wakati wamisheni wameacha kumkemea mtu kwa sababu ni mmisheni mwenzao. Hata pale wachungaji wao walipodai kuwa ni chaguo la Mungu waliwakemea. Teuzi na uongozi wa wakina Polepole, Sirro, Makonda, Sabaya n.k. zilikemewa kama ambavyo wakina Bashiru, Hapi n.k walivyopigiwa kelele. Hii ni tofauti na wengi wa wenzetu ambao kwenu dhana ya Umma ni ya muhimu kuliko utaifa.

Haya mambo ya false equivalence hayatawafikisha mbali. Mimi ningedhani kuwa mngewafunda hao waliopata uteuzi ili wasiwaangushe maana bila shaka kuna wapuuzi ambao watahukumu jamii yote ya waislamu kwa mapungufu yao.

Amandla....
Akuna cha kuwafunda wala nini.Kama wamepata uongozi kwa maelekezo ya kusimamia maslai ya dini yao sasa mkristo atawafunda vipi ili wamuelewe??Ila mimi ninachoona ni ukosefu wa elimu tu,ukweli ni kwamba haitatokea Dunia ikawa chini ya mwamvuli mmoja wa dini pamoja na haraka zote hizi zaidi wachache watalipwa huto tu mishahara na wengine wataendelea kuwa masikini.Ndo maana nawakubali wakristo yaana rais hata uwe mkristo ukizengua wanakuchana tu na ndo maana Wengi waliokuwa wanamkosoa ni wakristo wenzie hadi baraza la maaskofu wakatoriki walipinga wazi wazi sera za Magufuli kuhusu Corona.
 
H
Haya mawazo hayatakiwi kuwepo kwa wa Tanzania. Pia, walio na madaraka hawaruhusiwi kufanya mambo yanayoweza kuleta mawazo ya udini katika vichwa vya wa Tanzania.
Hapo ndo tunapofail, Tanzania udini upo tena wa wazi Kabisa.

Husemwi majukwaani ila Kwa matendi inaonekana


Kwa mfano imeandikwa wapi zamu za Raisi mkristu na muislam
 
Wakati wa utawala wa Magufuli, baada ya kusikia kuwa alielekeza kuwa taasis zote za kidini zinazoingiza magari zilipe kodi isipokuwa za wakatoliki wa Roma, eti kwa sababu taasisi za dini nyingine huwa ni wadanganyifu, wanayapeleka.magari waliyoingiza kwa msamaha kwenye matumizi binafsi,niliandika.kulaani jambo hilo. Mimi ni Mkatoliki wa Roma (RC).

Katika kulipinga hilo, nilieleza kuwa watawala wabaya huwa wanapenda kujishikamanisha na makundi makubwa ya jamii fulani ili watetewe na makundi hayo kwenye uovu wao. Ni blackmailing. Marehemu alifanya kila jitihada kujishikamanisha na wakatoliki kwa kuwa ni kundi kubwa la kidini, alijishikamanisha na wasukuma, japo hakuwa msukuma, kws sababu ni kabila kubwa, alijishikamanisha na kanda ya ziwa kwa sababu ni kanda yenye watu wengi, alijishikamanisha kwa kauli na maskini kwa vile maskini ni wengi ( licha ya kwamba mwanzoni aliwatimua kutika kwenye mitaa yote ya mijini, baadaye akawahadaa kwa kuwaruhusu wassmbae kila mahali ilihali hakufanya jitihafa zozote za maana za kuwaondoa kwenye umaskini).

Viongozi wa namna hiyo, wanataka wanapolalamikiwa kwa uongozi mbaya, wayageukie makundi yale na kusema, mnaona, nalaumiwa kwa sababu nawatetea ninyi wakati hakuna chochote cha pekee anachofsnya kwaajili yenu.

Tukifuatilia, kwa mtu mmoja mmoja, marehemu alisemwa zaidi na wakristo wenzake kuliko hsta wa dini tofauti, walioonja shubiri ya marehemu zaidi ni wakristo wenzake. Ben Sanane ni mkristo, Azory Gwanda ni mkristo; Mbowe, Msigwa, Mdee, na wengine wengi walikuwa Wakristo. Na ule waraka wa kulaani utawala mbaya unaopoteza watu ulitoka TEC, siyo BAKWATA.

Kwa vyovyote vile, tusikubali watawala kutufanyia mbinu ya kutugawa ili tusiwanyoshee vidole wanapofanya vibaya. Tujiulize, hivi kwa sababu Makamu mwenyekiti au mwenyekiti wa wazazi CCM ni waislamu, wana msaada gani kwa wale waislamu wa Ujiji au Same? Maisha yao yarabadilika?

Sote ni wamoja katika mazuri au madhira. Umeme ukikatika hauchagui nyumba ya muislam au mkristo. Matatizo ndiyo yatuunganishe zaidi kuliko kunyosheana vidole.

Tena katika hili, waislamu ndio wapaze sauti zaidi dhidi ya blackmailing hii ya kidini ili watawala wasijilinde kwa kutumia ngao ya udini, ukabila au eneo. Ngao yao kubwa iwe uongozi bora wenye maono, na unaozingatia usawa na haki.
Hujawahi kukemea Teuzi za Magufuli zilizopendelea wakiristo mno kuzidi waislamu.
 
Wakati wa utawala wa Magufuli, baada ya kusikia kuwa alielekeza kuwa taasis zote za kidini zinazoingiza magari zilipe kodi isipokuwa za wakatoliki wa Roma, eti kwa sababu taasisi za dini nyingine huwa ni wadanganyifu, wanayapeleka.magari waliyoingiza kwa msamaha kwenye matumizi binafsi,niliandika.kulaani jambo hilo. Mimi ni Mkatoliki wa Roma (RC).

Katika kulipinga hilo, nilieleza kuwa watawala wabaya huwa wanapenda kujishikamanisha na makundi makubwa ya jamii fulani ili watetewe na makundi hayo kwenye uovu wao. Ni blackmailing. Marehemu alifanya kila jitihada kujishikamanisha na wakatoliki kwa kuwa ni kundi kubwa la kidini, alijishikamanisha na wasukuma, japo hakuwa msukuma, kws sababu ni kabila kubwa, alijishikamanisha na kanda ya ziwa kwa sababu ni kanda yenye watu wengi, alijishikamanisha kwa kauli na maskini kwa vile maskini ni wengi ( licha ya kwamba mwanzoni aliwatimua kutika kwenye mitaa yote ya mijini, baadaye akawahadaa kwa kuwaruhusu wassmbae kila mahali ilihali hakufanya jitihafa zozote za maana za kuwaondoa kwenye umaskini).

Viongozi wa namna hiyo, wanataka wanapolalamikiwa kwa uongozi mbaya, wayageukie makundi yale na kusema, mnaona, nalaumiwa kwa sababu nawatetea ninyi wakati hakuna chochote cha pekee anachofsnya kwaajili yenu.

Tukifuatilia, kwa mtu mmoja mmoja, marehemu alisemwa zaidi na wakristo wenzake kuliko hsta wa dini tofauti, walioonja shubiri ya marehemu zaidi ni wakristo wenzake. Ben Sanane ni mkristo, Azory Gwanda ni mkristo; Mbowe, Msigwa, Mdee, na wengine wengi walikuwa Wakristo. Na ule waraka wa kulaani utawala mbaya unaopoteza watu ulitoka TEC, siyo BAKWATA.

Kwa vyovyote vile, tusikubali watawala kutufanyia mbinu ya kutugawa ili tusiwanyoshee vidole wanapofanya vibaya. Tujiulize, hivi kwa sababu Makamu mwenyekiti au mwenyekiti wa wazazi CCM ni waislamu, wana msaada gani kwa wale waislamu wa Ujiji au Same? Maisha yao yarabadilika?

Sote ni wamoja katika mazuri au madhira. Umeme ukikatika hauchagui nyumba ya muislam au mkristo. Matatizo ndiyo yatuunganishe zaidi kuliko kunyosheana vidole.

Tena katika hili, waislamu ndio wapaze sauti zaidi dhidi ya blackmailing hii ya kidini ili watawala wasijilinde kwa kutumia ngao ya udini, ukabila au eneo. Ngao yao kubwa iwe uongozi bora wenye maono, na unaozingatia usawa na haki.
Waislam wapaze sauti kwa lipi hasa
 
Tatizo ni kwamba wakiristu wamesheheni katika utumishi wa kila kona ya idara ya serikali ya nchi hii kuliko Waislamu. Lakini ufisadi umekithiri nchini, Umasikini umekithiri, na hata serikali zao huwa zinaongoza kwa kutesa na kuummiza watu.
 
Kipindi watu wanatekwa na kuawa ilikua sehemu salama kwa vile alifanya mkristo mwenzenu
Nyie watu ni WA hovyo kabisa
Acha mambo yako,kipindi cha Kikwete Dr Olimboka alipotekwa na kung'olewa kucha na meno bila ganzi wewe muislam ulikuwa wapi au ulisema nini??Acha unafiki kama viashiria vya udini acha watu waseme ili hao viongozi wanaofanya wajue kwamba wanashort thinking,
 
Acha mambo yako,kipindi cha Kikwete Dr Olimboka alipotekwa na kung'olewa kucha na meno bila ganzi wewe muislam ulikuwa wapi au ulisema nini??Acha unafiki kama viashiria vya udini acha watu waseme ili hao viongozi wanaofanya wajue kwamba wanashort thinking,
Ulimboka alichochea mgomo wa madaktari kinyume cha maadili ya madaktari, ndugu zetu wengi sana walikufa hospitalini kwa kukosa huduma za msingi. Tena Ulimboka aliguswa tu kutiwa adabu, hakuuliwa!. Ingekuwa enzi za Jiwe angepotezwa kabisa asijupikane alipo!
 
Hujawahi kukemea Teuzi za Magufuli zilizopendelea wakiristo mno kuzidi waislamu.
Basi kama ni hivyo viongozi waseme wazi kuliko kujificha ficha kwanba wanalipiza na hii sio zamu ya wakristo ili wakristo wajue sio zamu yao na wajue kumbe huwa kuna zamu.Ili nao wajipange kulipiza zamu yao ikifika.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom