Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona hili vaa kobaz lilivyofura
Kuna wanaokatwa pia wasigombeeWanapitishwa na wanachama na Kamati kuu inawaidhinisha tuu..
Hao ni wakatoriki, jaribuni wengineNgoja nikuongezee, Mwenyekiti wa Ccm Dar ni Abbas Mtemvu Mwislamu pia.
Ni hivi Wakristo tuna roho mbaya sana, natamani waislamu waongezeke kwenye uongozi kwa sababu ushahidi uko wazi waislamu hawapendi dhiki na dhulma.
Utawala wa Wakristo ni chuki tupu, roho mbaya na kuuwa watu, waislamu wameprove utu kwenye utawala wao ukianzia Mwinyi, Kikwete na Samia.
Mkapa na Magufuli ni mfano wa shetani.
Katika hawa waliochaguliwa ni nani aliyekemewa kwa sababu ya dini yake? Watu wanachokifanya ni kuhoji idadi yao na sio kila mtu mmoja mmoja katika nafasi yake. Watu wanahoji itakuwaje katika jiji kama Dar es Salaam nafasi za juu zote zishikwe na waislamu? Ni kama vile watu wangehoji kama nafasi zote za juu wangechaguliwa watu wa kabila moja au jinsia moja au hata wakristu watupu. Ni hoja ambayo inapaswa kubebwa na kuthibitishwa kuwa haina mashiko kwa matendo yao kama viongozi. Wasiwasi wangu ni kuwa watu kama wewe mtakingia kifua hata pale watakapoonekana kuwa wanapwaya kwa kisingizio kuwa wanakosolewa kwa sababu ni waislamu.Katika hao uliowanukuu, hakuna aliyekemewa sababu ya dini yake, bali sababu ya matendo yake. Tofauti na waaanzisha mada hizi za leo, hawa hawaangalii utendaji wa mtu bali wanataka watu wawe disqualified sababu ya dini zao. Kwamba kwa kwa kuwa waislamu wamepatapata vinafasi, wanatamani wawe wachache zaidi au eti tubalance, wakati huko zamani wakati Magufuli anawajaza Wakiristo wenzao serikalini walikaa kimya hawakumkemea Magufuli kwa teuzi zilizokuwa zomejaa taswira ya udini.
By the way, hawa watu wa sasa wamepigiwa kura na wana CCM wenyewe, hawajateuliwa na mtu!
Matola umejawa upumbavu mwingi sana. Mara nyingi siku hizi unaandika hoja zilizojaa uchonganishi na upuuzi mtupu. Unafaa kupuuzwa.Ngoja nikuongezee, Mwenyekiti wa Ccm Dar ni Abbas Mtemvu Mwislamu pia.
Ni hivi Wakristo tuna roho mbaya sana, natamani waislamu waongezeke kwenye uongozi kwa sababu ushahidi uko wazi waislamu hawapendi dhiki na dhulma.
Utawala wa Wakristo ni chuki tupu, roho mbaya na kuuwa watu, waislamu wameprove utu kwenye utawala wao ukianzia Mwinyi, Kikwete na Samia.
Mkapa na Magufuli ni mfano wa shetani.
Duuuh aiseeeOrodha ya hapa chini ni mifano halisia
Mwenyekiti Taifa - Samia Suluhu Hassan
Makamu Mwenyekiti Bara - Abdalhaman Omari Kinana
Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Ali Mohamed Shein anafuata Hussein Ali Mwinyi
Mwenyekiti Wazazi - Fadhili Rajabu Maganya
Makamu Mwenyekiti Wazazi - Doto Iddi Mabrouk
Mwenyekiti Vijana Taifa - Mohammed Ali Mohammed
Makamu Mwenyekiti Vijana Taifa - Rehema Sombi Omary
Orodha nyingine inakuja
CCM ni Chama sio Dola.Kwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini.
Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu.
Kama huu uchaguzi umefanyika kumlridhisha Rais basi watu wamempaka matope Rais.
Tanzania sio nchi ya kidini huu uliofanyika ni uchaguzi ambao unaacha maswali mengi sana sana.
Pamoja na kugombea kuna kuteuliwa, mteuzi kama hakutaki jina lako halitaonekana kwa wapiga kura.Kama uligombea ukapigwa za uso usilete ujinga wa kutafuta excuses za kipumbavu.
Waliopiga Kura walikuwa Waislam pekee? Mimi Mkoa niliko 3/4 ya wapiga kura Ni Wakristo na wamechagua Viongozi wa dini ya Kiislamu maana ndio waligombea na kushinda Sasa sijui unatakaje.
Wajumbe uletewa majinaCCM ni Chama sio Dola.
Tuliani mnyolewe tulisema bila katiba mpya Kuna siku hii nchi itaendeshwa kidikteta au kikabila au kidini au kirafiki mkapuuza.
Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Kama waliopiga kura ni wajumbe halali wa CCM basi waliochaguliwa ni halali na wamechaguliwa kama wanachama wa CCM sio kama waumini wa dini yoyote. Tuache udini. Haya yote yanatokana na Vyombo vya Dola kushindwa kupambanua kuwa CCM ni Chama kama vyama vingine na wanaokiongoza ni watu kama watu wengine matokeo yake ni wao vyombo vya Dola kujipendekeza CCM , Mashekhe kujipendekeza CCM, mapadri ,maaskofu, manabii na Mitume kujipendekeza CCM na kumweka Mwenyekiti wa CCM kwenye kiti Cha Enzi kama mungu wao awapaye riziki yao na familia zao.
Tulieni dawa itaingia taratibu mkizinduka.
Nyerere aliwahi sema wewe unaweza mcharaza mke wako bakora lkn isiwe news kubwa kwa siku hiyo lkn yeye Nyerere akimcharaza mke wake bakora nchi nzima italipuka.CCM siyo jumuia, kigango, Parokia wala Jamaati. wanachama wa CCM wamechagua viongozi wanaowataka.
By the way wakati Magufuli anajaza Wakiristo serikalini mbona hizi kelele hatukuzisikia?
Unazungumza usiyoyajua. Labda unasikia tu juu juu.Usichokijuwa ni kwamba Magufuli ni zao la Mkapa, na Mkapa ndio alisimama Kidete kwenye vikao vya Ccm kuhakikisha Magufuli ndio anateuliwa kuwa mgombea wa Ccm.
Unazungumza usiyoyajua. Labda unasikia tu juu juu.Usichokijuwa ni kwamba Magufuli ni zao la Mkapa, na Mkapa ndio alisimama Kidete kwenye vikao vya Ccm kuhakikisha Magufuli ndio anateuliwa kuwa mgombea wa Ccm.
Nyota njema huonekana asubuhi. viashiria vya udini vinaanza kuonekana kabla ya kushika dola, je kikishika dola hali itakuaje?Una akili kiduchu sana aisee. Chadema ni serikali?
Mwambie samiaNdugu Watanzania tusiendekeze udini. Ni hatari kwa mustakabali wa taifa letu
Sisi tunazungumzia uongozi wa juu kitaifa, achana na hao wanaoendesha chama kwa kufuata maagizo kutoka kwa mwenyekiti, makamu mwenyekiti, katibu mkuu nk.Acha uongo Mwenyekiti Baraza la wazee ni Muislam
Mwenyekiti BAWACHA ni Sharifa Suleiman Muislam
BAVICHA uchaguzi uliopita
Makam mwenyekiti Moza Ally Muislam
Katibu mkuu Nusrat Hanje Muislam
Hapo sijataja naibu mwenyekiti na naibu Katibu kwa upande wa Zanzibar ambao nao wote ni waislam.
So Mkristo alikua Kaunya na Pambalu peke Yao kwenye nafasi almost 8 za Bavicha kitaifa!!!
Hawa jamaa mimi nawaona wanafq tuKatika hao uliowanukuu, hakuna aliyekemewa sababu ya dini yake, bali sababu ya matendo yake. Tofauti na waaanzisha mada hizi za leo, hawa hawaangalii utendaji wa mtu bali wanataka watu wawe disqualified sababu ya dini zao. Kwamba kwa kwa kuwa waislamu wamepatapata vinafasi, wanatamani wawe wachache zaidi au eti tubalance, wakati huko zamani wakati Magufuli anawajaza Wakiristo wenzao serikalini walikaa kimya hawakumkemea Magufuli kwa teuzi zilizokuwa zomejaa taswira ya udini.
By the way, hawa watu wa sasa wamepigiwa kura na wana CCM wenyewe, hawajateuliwa na mtu!
Sibitisha angao kidogoKwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini.
Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu.
Kama huu uchaguzi umefanyika kumlridhisha Rais basi watu wamempaka matope Rais.
Tanzania sio nchi ya kidini huu uliofanyika ni uchaguzi ambao unaacha maswali mengi sana sana.