Tuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini

Tuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini

Status
Not open for further replies.
Wakiristo walikuwa wakimkemea Magufuli ktk ukabila na Ukanda tu ila kwenye udini walikuwa wakimtetea
Uongo mtupu. Hamna wakati wamisheni wameacha kumkemea mtu kwa sababu ni mmisheni mwenzao. Hata pale wachungaji wao walipodai kuwa ni chaguo la Mungu waliwakemea. Teuzi na uongozi wa wakina Polepole, Sirro, Makonda, Sabaya n.k. zilikemewa kama ambavyo wakina Bashiru, Hapi n.k walivyopigiwa kelele. Hii ni tofauti na wengi wa wenzetu ambao kwenu dhana ya Umma ni ya muhimu kuliko utaifa.

Haya mambo ya false equivalence hayatawafikisha mbali. Mimi ningedhani kuwa mngewafunda hao waliopata uteuzi ili wasiwaangushe maana bila shaka kuna wapuuzi ambao watahukumu jamii yote ya waislamu kwa mapungufu yao.

Amandla....
 
Nimependa sana ulivyoandika mkuu.Hii ndiyo maana halisi ya kua great thinker.Hata viongozi wote wakiwa Wakristu,mradi wanatenda haki na kuwatetea Watanzania hakuna tatizo.Naandika kila siku huu udini tunaouendekeza karibuni tuta
Kwa hiyo kwako wewe kelele mpaka zipigwe na wakristu ndio unazisikia? Magufuli alipingwa na alikosolewa na wakristu wenzake wengi tu wakishirikiana na waislamu. Sasa hivi wengi wa waislamu waliokuwa critical wakati ule ama wamenyamaza, wamepunguza sauti au wanakataza asikosolewe kabisa.
Mimi sio msemaji wa wakristu lakini sikubaliani na wazo la kubalance dini katika jambo lolote. Ndio maana waislamu kuwa wengi katika uongozi hakuzisumbui kama vile ambavyo sikusumuliwa mamisheni walipojaa katika nafasi za uongozi.Kipimo kwangu mimi ni namna gani viongozi hawa watawatumikia watanzania wote bila kubagua au kupendelea kwa misingi ya dini, kabila, eneo alilotoka na jinsia. Ninachotaka wakamate panya wanaosimbua. Rangi yao sio muhimu.

Amandla....
 
Kinachofuata ITV ni hoja ya Tanzania kujiunga na Organization of Islamic Countries (OIC) na Zanzibar kuwa mwanachama wa FIFA na kupewa kiti UN.

Fuatilia ata Mapesa ambayo Bi.Mkubwa amepewa kutoka Uarabuni!
Mizunguko ya Nini?

Wavunje tu Muungano.
 
Waislam wana udini sana, angalia list ya chama chetu CHADEMA walivyojipa vyeo vya juu hapo chini:

1) Mwenyekiti taifa Freeman Mbowe (muislam)

2) Makamu mwenyekiti Tundu Lisu (muislam)
Makamu mwenyekiti kule Zanzibar tumemuweka mkristo mmoja ili kuwazuga watanzania wasishtuke kuhusu udini wetu

3) katibu mkuu John Mnyika (muislam)
List ni ndefu ila acha niishie hapa.
Peter Msigwa (muislam) huyu aliwahi kuwa hata na msikiti wake pale Iringa, lakini kwa sababu ya udini wetu tumemkumbatia aendelee kutupa darasa waumini wake chamani.

Huko ACT Wazalendo ndio tuko makkah kabisa, kuanzia kiongozi mkuu wa chama hadi mfagiaji ni wenyewe watupu.
Una akili kiduchu sana aisee. Chadema ni serikali?
 
Naona unachanganya kachumbari na kande kidogo

Mwenyekiti wa BAWACHA aliyepita ni Halima Mdee Mkiristo

Mwenyekiti wa BAVICHA ni Pambalu Mkiristo, yupo mpaka Sasa
Ndio nmekutajia Sasa BAVICHA in general Ili uone team nzima ilvyojaa waislam mpaka Katibu mwenezi ni Twaha Mwaipaya Muislam pure kabisa.

Huko BAWACHA ndio usiseme Kulikua na Mdee lakini makamu alikuwepo Hawa Mwaifunga, Kunti Majala, Sharifa Suleiman na Katibu mwenezi alikua Muislam pia hapo mkristo ni Mdee na Kishoa tu. Sasa hapo udini uko wapi?
 
Uongo mtupu. Hamna wakati wamisheni wameacha kumkemea mtu kwa sababu ni mmisheni mwenzao. Hata pale wachungaji wao walipodai kuwa ni chaguo la Mungu waliwakemea. Teuzi na uongozi wa wakina Polepole, Sirro, Makonda, Sabaya n.k. zilikemewa kama ambavyo wakina Bashiru, Hapi n.k walivyopigiwa kelele. Hii ni tofauti na wengi wa wenzetu ambao kwenu dhana ya Umma ni ya muhimu kuliko utaifa.

Haya mambo ya false equivalence hayatawafikisha mbali. Mimi ningedhani kuwa mngewafunda hao waliopata uteuzi ili wasiwaangushe maana bila shaka kuna wapuuzi ambao watahukumu jamii yote ya waislamu kwa mapungufu yao.

Amandla....
Hizi lugha hizi "wamisheni" ,wavaa kobaz" hizi zote ni chuki.Kwa nn usiseme Wakristu au Waislam au namna ambayo hutajionyesha una chuki dhidi ya mwenzio??
 
Mwanzilishi wa ujinga huu ni jiwe Uchaguzi ktk awamu yake ulikuwa na viashiria vya kichato-chato.
 
Nimependa sana ulivyoandika mkuu.Hii ndiyo maana halisi ya kua great thinker.Hata viongozi wote wakiwa Wakristu,mradi wanatenda haki na kuwatetea Watanzania hakuna tatizo.Naandika kila siku huu udini tunaouendekeza karibuni tuta
Asante Mkuu. Ubaya wa kuendekeza udini ni kuwa watu wanasita kukosoa wenzao kwa sababu tu ni dini yao. Aidha, wanawakataa watendaji wazuri ambao wangewasaidia kwa sababu tu sio dini yao. Wanapoteuliwa wenye dini yetu tujue kuwa wana dhamana kubwa ya kuwatendea haki wale ambao sio wa dini yetu. Na tunatakiwa tuwakemee pale tuu tunapoona dalili za kutupendelea badala ya kukaa mkao wa kula na kujitetea kuwa mbona wenzetu walikuwa wanapendeleana.

Amandla...
 
Hi

Hizi lugha hizi "wamisheni" ,wavaa kobaz" hizi zote ni chuki.Kwa nn usiseme Wakristu au Waislam au namna ambayo hutajionyesha una chuki dhidi ya mwenzio??
Mimi natumia neno wamisheni kwa sababu nimeitwa sana hilo na sina tatizo nalo. Hilo lingine silitumii maana naona linatumiwa kuwadhalilisha wenzetu.

Amandla...
 
Kama uligombea ukapigwa za uso usilete ujinga wa kutafuta excuses za kipumbavu.

Waliopiga Kura walikuwa Waislam pekee? Mimi Mkoa niliko 3/4 ya wapiga kura Ni Wakristo na wamechagua Viongozi wa dini ya Kiislamu maana ndio waligombea na kushinda Sasa sijui unatakaje.
Kama ndio hao hao waliopitishwa kugombea maana yake kulikuwa hakuna alternative.lazima wapigiwe kura.
 
Kwenye Utawala nyie wenyewe ndio mnasema hii ni zamu ya hawa au hawa

Hakuna ulazima ww kumuweka Rais kwa Udini kisa aliepita ni dini hii au ile na ajae atakuwa dini hii au ile

Wananchi wapewe haki yao kuchagua wanaemuona anawafaa hata kama watajirudia mara 3

Tuache dhana hizi za Udini maana wengine wanasema mbona utawala wa Magu aliwajaza upande wake?
Hapo mnaonyesha kiasi gani mmeamua kuonyesha tofauti zetu

Hao waliochaguliwa awamu iliyopita tuliona waliyoyafanya acha tuangalie na hawa wataleta nini
 
Kwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini.

Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu.

Kama huu uchaguzi umefanyika kumlridhisha Rais basi watu wamempaka matope Rais.

Tanzania sio nchi ya kidini huu uliofanyika ni uchaguzi ambao unaacha maswali mengi sana sana.
Udini, Rushwa na ukabila
 
Ni mjinga tu anaetazama/kufikiri mambo kwa mwamvuli wa udini...hivi hata wakiwa waislam au wakristo wote ndo sisi waislam au wakristo tutaneemeka?

Sisi tuwahukumu kwa kushindwa kutekeleza majukumu Yao na sio kwa dini zao
Umejibu vyema ndg

Mleta mada ndio mwenye udini!

Na anaonyesha jina lake lilikatwa
 
Orodha ya hapa chini ni mifano halisia

Mwenyekiti Taifa - Samia Suluhu Hassan

Makamu Mwenyekiti Bara - Abdalhaman Omari Kinana

Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Ali Mohamed Shein anafuata Hussein Ali Mwinyi

Mwenyekiti Wazazi - Fadhili Rajabu Maganya

Makamu Mwenyekiti Wazazi - Doto Iddi Mabrouk

Mwenyekiti Vijana Taifa - Mohammed Ali Mohammed

Makamu Mwenyekiti Vijana Taifa - Rehema Sombi Omary

Orodha nyingine inakuja
Hao wote si wamepigiwa kura tena za siri?

Ama wamejiteua wenyewe?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom