Katika hao uliowanukuu, hakuna aliyekemewa sababu ya dini yake, bali sababu ya matendo yake. Tofauti na waaanzisha mada hizi za leo, hawa hawaangalii utendaji wa mtu bali wanataka watu wawe disqualified sababu ya dini zao. Kwamba kwa kwa kuwa waislamu wamepatapata vinafasi, wanatamani wawe wachache zaidi au eti tubalance, wakati huko zamani wakati Magufuli anawajaza Wakiristo wenzao serikalini walikaa kimya hawakumkemea Magufuli kwa teuzi zilizokuwa zomejaa taswira ya udini.
By the way, hawa watu wa sasa wamepigiwa kura na wana CCM wenyewe, hawajateuliwa na mtu!