Tuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini

Tuseme ukweli, uchaguzi wa CCM uliofanyika una viashiria vya udini

Status
Not open for further replies.
Kwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini.

Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu.

Kama huu uchaguzi umefanyika kumlridhisha Rais basi watu wamempaka matope Rais.

Tanzania sio nchi ya kidini huu uliofanyika ni uchaguzi ambao unaacha maswali mengi sana sana.
We nae tumekuchoka kila kitu udini udini chuki zako dhidi ya uislam hazitokufikisha popote wewe mtu wa Mara.......
 
Kwenye siasa hakuna msafi ila wapo wenye huruma tu
 
Kwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini.

Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu.

Kama huu uchaguzi umefanyika kumlridhisha Rais basi watu wamempaka matope Rais.

Tanzania sio nchi ya kidini huu uliofanyika ni uchaguzi ambao unaacha maswali mengi sana sana.

Mkuu hebu tuwekee safu/list ya viongozi wa CHADEMA ili tuone na kwenyewe kukoje
 
Orodha ya hapa chini ni mifano halisia

Mwenyekiti Taifa - Samia Suluhu Hassan

Makamu Mwenyekiti Bara - Abdalhaman Omari Kinana

Makamu Mwenyekiti Zanzibar - Ali Mohamed Shein anafuata Hussein Ali Mwinyi

Mwenyekiti Wazazi - Fadhili Rajabu Maganya

Makamu Mwenyekiti Wazazi - Doto Iddi Mabrouk

Mwenyekiti Vijana Taifa - Mohammed Ali Mohammed

Makamu Mwenyekiti Vijana Taifa - Rehema Sombi Omary

Orodha nyingine inakuja
Ngoja nikuongezee, Mwenyekiti wa CCM Dar ni Abbas Mtemvu Mwislamu pia.

Ni hivi Wakristo tuna roho mbaya sana, natamani waislamu waongezeke kwenye uongozi kwa sababu ushahidi uko wazi waislamu hawapendi dhiki na dhulma.

Utawala wa Wakristo ni chuki tupu, roho mbaya na kuuwa watu, waislamu wameprove utu kwenye utawala wao ukianzia Mwinyi, Kikwete na Samia.

Mkapa na Magufuli ni mfano wa shetani.
 
Kwa jinsi uchaguzi wa CCM ulivyofanyika kwenye mikoa yote Tanzania watanzania tuache unafiki uvccm na CCM kwa ujumla Kuna udini.

Angalia viongozi waliochaguliwa kuanzia halimashauri kuu, Uvccm mpaka ngazi ya kata ni udini mtupu.

Kama huu uchaguzi umefanyika kumlridhisha Rais basi watu wamempaka matope Rais.

Tanzania sio nchi ya kidini huu uliofanyika ni uchaguzi ambao unaacha maswali mengi sana sana.
Huo ndio ukweli na inaonekana agenda kuu ya mama ni kupromote dini yake na Uzanzibari.
 
Haya mawazo hayatakiwi kuwepo kwa wa Tanzania. Pia, walio na madaraka hawaruhusiwi kufanya mambo yanayoweza kuleta mawazo ya udini katika vichwa vya wa Tanzania.

Ningewashauri kabla ya kuanza kazi wachaguliwa ndani ya CCM, chama kiwapeleke Hijja ndogo Macca inatwa sina hakika ummrah.

Na Wakristo ambao ni Wanachama wa CCM wajitafakari na waishinde dhambi ya unafiki.
 
CCM siyo jumuia, kigango, Parokia wala Jamaati. wanachama wa CCM wamechagua viongozi wanaowataka.

By the way wakati Magufuli anajaza Wakiristo serikalini mbona hizi kelele hatukuzisikia?
Zilikuweko lakini haukutaka kuzisikia. Magufuli alilaumiwa kwa vyote, udini na ukabila. Kama vile ambavyo Chadema inalaumiwa. Ukweli ni kuwa wako watanzania wengi ambao dini na kabila ni vitu muhimu kwao. Kwenye hili la sasa ni vigumu kuona namna gani huo upendeleo ulifanyika. Wanachotakiwa kufanya viongozi wetu ni kuonyesha kwa vitendo kuwa hizi shutuma ni za kipuuzi kwa kuongoza bila kuangalia dini au kabila la anaowaongoza. Wachina wanasema " haijalishi rangi ya paka, kilicho muhimu ni kuwa anakamata panya".

Amandla...
 
Waislam wana udini sana, angalia list ya chama chetu CHADEMA walivyojipa vyeo vya juu hapo chini:

1) Mwenyekiti taifa Freeman Mbowe (muislam)

2) Makamu mwenyekiti Tundu Lisu (muislam)
Makamu mwenyekiti kule Zanzibar tumemuweka mkristo mmoja ili kuwazuga watanzania wasishtuke kuhusu udini wetu

3) katibu mkuu John Mnyika (muislam)
List ni ndefu ila acha niishie hapa.
Peter Msigwa (muislam) huyu aliwahi kuwa hata na msikiti wake pale Iringa, lakini kwa sababu ya udini wetu tumemkumbatia aendelee kutupa darasa waumini wake chamani.

Huko ACT Wazalendo ndio tuko makkah kabisa, kuanzia kiongozi mkuu wa chama hadi mfagiaji ni wenyewe watupu.
Acha uongo Mwenyekiti Baraza la wazee ni Muislam

Mwenyekiti BAWACHA ni Sharifa Suleiman Muislam

BAVICHA uchaguzi uliopita
Makam mwenyekiti Moza Ally Muislam
Katibu mkuu Nusrat Hanje Muislam
Hapo sijataja naibu mwenyekiti na naibu Katibu kwa upande wa Zanzibar ambao nao wote ni waislam.

So Mkristo alikua Kaunya na Pambalu peke Yao kwenye nafasi almost 8 za Bavicha kitaifa!!!
 
Zilikuweko lakini haukutaka kuzisikia. Magufuli alilaumiwa kwa vyote, udini na ukabila. Kama vile ambavyo Chadema inalaumiwa. Ukweli ni kuwa wako watanzania wengi ambao dini na kabila ni vitu muhimu kwao. Kwenye hili la sasa ni vigumu kuona namna gani huo upendeleo ulifanyika. Wanachotakiwa kufanya viongozi wetu ni kuonyesha kwa vitendo kuwa hizi shutuma ni za kipuuzi kwa kuongoza bila kuangalia dini au kabila la anaowaongoza. Wachina wanasema " haijalishi rangi ya paka, kilicho muhimu ni kuwa anakamata panya".

Amandla...
Waislamu walipokuwa wanalalamika kuhusu udini wa Magufuli mlikuwa mkimtetea kuwa hatuteui masheikh wala mapadri

Sasa kwenye chaguzi hizi za ndani ya CCM utalaumu udini kivivipi wakati watu wamechaguliwa kwa kura?

Na waliogombea walikuwemo watu wa dini zote!

Nadhani wana CCM wameamua kuchagua watu wanaowataka. Hayo ya kuangalia dini ya mtu hayamo katika miongozo , katiba na kanuni za CCM.

Kama mnataka habari za kubalance dini za watu katika teuzi, ajira, na fursa mbalimbali serikalini basi tuliweke katika katiba mpya au sheria zijazo. Lakini kwa sasa liko kama lilivyo
 
Hizi kelele za udini huwa zinapigwa sana pindi mtawala anapokuwa muislamu, lakini Mtawala anapokuwa Mkiristo na akateua wakiristo wenzie zaidi ya 80% huwa anapata utetezi kutoka kwa hawahawa wanaolalamikia udini leo

Hizi mada za kupiga mbinja kelele za udini pindi mtawala anapokuwa muislamu hazijaanza leo humu JF

Cheki hii mada ya 2007 hapa chini👇

 
Waislamu walipokuwa wanalalamika kuhusu udini wa Magufuli mlikuwa mkimtetea kuwa hatuteui masheikh wala mapadri

Sasa kwenye chaguzi hizi za utalaumu udini kivivipi wakati watu wamechaguliwa kwa kura?

Na waliogombea walikuwemo watu wa dini zote!

Nadhani wana CCM wameamua kuchagua watu wanaowataka. Hayo ya kuangalia dini ya mtu hayamo katika miongozo , katiba na kanuni za CCM.

Kama mnataka habari za kubalance dini za watu katika teuzi, ajira, na fursa mbalimbali serikalini basi tuliweke katika katiba mpya au sheria zijazo. Lakini kwa sasa liko kama lilivyo
Kwa hiyo kwako wewe kelele mpaka zipigwe na wakristu ndio unazisikia? Magufuli alipingwa na alikosolewa na wakristu wenzake wengi tu wakishirikiana na waislamu. Sasa hivi wengi wa waislamu waliokuwa critical wakati ule ama wamenyamaza, wamepunguza sauti au wanakataza asikosolewe kabisa.

Mimi sio msemaji wa wakristu lakini sikubaliani na wazo la kubalance dini katika jambo lolote. Ndio maana waislamu kuwa wengi katika uongozi hakunisumbui kama vile ambavyo sikusumbuliwa wamisheni walipojaa katika nafasi za uongozi.

Kipimo kwangu mimi ni namna gani viongozi hawa watawatumikia watanzania wote bila kubagua au kupendelea kwa misingi ya dini, kabila, eneo alilotoka na jinsia. Ninachotaka wakamate panya wanaonisumbua. Rangi na dini yao sio muhimu.

Amandla....
 
Acha uongo Mwenyekiti Baraza la wazee ni Muislam

Mwenyekiti BAWACHA ni Sharifa Suleiman Muislam

BAVICHA uchaguzi uliopita
Makam mwenyekiti Moza Ally Muislam
Katibu mkuu Nusrat Hanje Muislam
Hapo sijataja naibu mwenyekiti na naibu Katibu kwa upande wa Zanzibar ambao nao wote ni waislam.

So Mkristo alikua Kaunya na Pambalu peke Yao kwenye nafasi almost 8 za Bavicha kitaifa!!!
Naona unachanganya kachumbari na kande kidogo

Mwenyekiti wa BAWACHA aliyepita ni Halima Mdee Mkiristo

Mwenyekiti wa BAVICHA ni Pambalu Mkiristo, yupo mpaka Sasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom