Huu uzi ni kwa ajili ya kusema yale ya moyoni, yaani kusema yale ya kweli kabisa.
Binadamu tumeumbwa kwa hali tofauti na vipawa tofauti hasa katika suala la kujadiliana mada za kielimu yaani kifani (Taaluma).
Humu JF tunajadiliana sana na kubishana mno, japokuwa kufanya mijadala na kupenda mijadala si jambo jema ila ikitokea dharura na haja basi hakuna budi.
Kwa ufupi kuna watu wanajua yaani wanajua hasa na kuna wale ambao ni kinyume chake, almuhimu tupo watu wa aina kadha wa kadha.
Kiukweli katika kujadiliana kwangu humu JF, kuna baadhi ya watu huwa nikijadiliana nao wananipa wakati mgumu sana, mpaka kuna muda napata hofu ya kuingia JF sababu huwa nahisi nikiingia nitakuta hoja nzito na kutakiwa kujibu hoja hiyo.
Basi kwa hofu hiyo huwa natamani nisikutane na swali au hoja kutoka mtu husika.
Mimi watu ambao huwa wananipa wakati mgumu katika mijadala na kunifanya nisome zaidi nitawataja kadiri ya uzi utakavyokuwa unaenda.
Binadamu tumeumbwa kwa hali tofauti na vipawa tofauti hasa katika suala la kujadiliana mada za kielimu yaani kifani (Taaluma).
Humu JF tunajadiliana sana na kubishana mno, japokuwa kufanya mijadala na kupenda mijadala si jambo jema ila ikitokea dharura na haja basi hakuna budi.
Kwa ufupi kuna watu wanajua yaani wanajua hasa na kuna wale ambao ni kinyume chake, almuhimu tupo watu wa aina kadha wa kadha.
Kiukweli katika kujadiliana kwangu humu JF, kuna baadhi ya watu huwa nikijadiliana nao wananipa wakati mgumu sana, mpaka kuna muda napata hofu ya kuingia JF sababu huwa nahisi nikiingia nitakuta hoja nzito na kutakiwa kujibu hoja hiyo.
Basi kwa hofu hiyo huwa natamani nisikutane na swali au hoja kutoka mtu husika.
Mimi watu ambao huwa wananipa wakati mgumu katika mijadala na kunifanya nisome zaidi nitawataja kadiri ya uzi utakavyokuwa unaenda.