Tusemezane ya Ukweli: Ni nani humu JF ukiwa unajadiliana naye anakupeleka puta mpaka, unatamani asi ku "Quote" kwa kujawa na hofu

Tusemezane ya Ukweli: Ni nani humu JF ukiwa unajadiliana naye anakupeleka puta mpaka, unatamani asi ku "Quote" kwa kujawa na hofu

Hahahahah usijifanye mjanja

Njoo kule kati tukushulubishe [emoji1787][emoji1787]

Cc;@spensa_e kukumdogo @lekwangul

Wapi huko. ? Kwani nimetoka wapi mpaka nije huko ?

Kule tatizo lenu hamna hija na mkiulizwa maswali hamjibu.

Tujikite kwenye mada husika.
 
Mabishano ni jambo zuri maana kwenye mabishano watu hupata kufunga zaidi na sie wasomaji hupata faida kw kujifunza zaidi kwa kuangalia hoja za pande zote mbili bila ya hivyo pengine kila mtu angekuwa anakuja kujaza uongo wake humu,faida ya mabishano mfano mkuu Deception na madaktari wa humu Jf,kwenye kubishana kwao sie wengine wasomaji tu tumepata kujifunza mengi na ndio kitu kimoja wapo katika uzuri wa JF.
 
The Monk, Mkuu usishangae deen ya zurri ni deen ya ligi!
IMG_20191128_123116_443.jpeg
 
Zurri nje ya Mada.
Ulishawahi kufikiria kuandika hata Kitabu?
Jibu ndio au Hapana, usiniandikie maelezo kama kawaida yako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
 
Zurri nje ya Mada.
Ulishawahi kufikiria kuandika hata Kitabu?
Jibu ndio au Hapana, usiniandikie maelezo kama kawaida yako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088]

Ndio na nimeshaandika kadhaa,ila bado havijachapishwa.
 
Mimi hawanipeleki puta ila wana mikomenti ya kuudhi hadi nikiona quote yao sitamani kufungua. Nawahifadhi kwa sasa
 
Haki na Ukweli,
Shida ni kua hoja zako unapenda kuzipeleka kidini, na hata huu mjadala umeuanzisha mwisho wa siku utaupeleka kwenye dini... Bro, dunia ni pana kuliko ujuavyo na imebeba mengi kuliko ulivyovisoma, unapaswa kujua wewe una mitazamo ya kidini na mwingine hana na mwingine anayo ila sio ya imani yako,

Ishi kuendana na mahali palivyo usilazimishe wote wafate kile unacho wewe, wape nafasi na wengine wakupe kile wanacho, fungua milango ya kupokea vitu vipya kila siku, hapo itakufanya ukomae kiufahamu na itakufanya uishi katika mazingira yoyote.
That's my babe
 
Hili hujaanza kulisema leo,na huwa nalizingitia sana. Kwahiyo hapo nimekuandikia wewe hasa ila na wengine kwa ujumla. Kwahiyo usipo soma wewe basi watasoma wengine.

Ili kutilia mkazo hili,huoni huwa na mquote Kiranga japokuwa ana dai ame ni "Ignore" na mimi nalijua hilo,kwa maana yeye au wewe huwa nawafanya kama "Wasila" tu kufikisha ujumbe kwa wengine.

Hili bila shaka limeisha,tujikite kwenye mada.
Samahani mkuu ila kwa attitude na majibu yako sikuwahi kudhani ni mwanaume ila leo ndio nimejua

By the way acha kuwa conservative na kuamini unajua kuliko wengine. Weka room ya kujifunza maana arguments zako huwa ni kama defence au kutaka kushinda mijadala badala ya kujua.
 
Back
Top Bottom