Tushangilie ushindi wa TLS lakini tusitegemee mabadiliko TLS kupitia Mwambukusi; huyu ni mwanasystem kindakindaki

Tushangilie ushindi wa TLS lakini tusitegemee mabadiliko TLS kupitia Mwambukusi; huyu ni mwanasystem kindakindaki

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Huwezi kuandika jina la mtu vzr?? Haraka ya nini..system, system..ujinga mtupu, akili yote inawaza tumbo tu! dawa yenu ipo inakuja..
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Mkishashindwa ndo mnakuja na haya ya system..!! Au Madilu Multy System??
 
Ana bahati sana wenzie wameamua kumpa umaarufu

Haha wasioijua hii nchi ushangiliaga tu

GM
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Taja mhombea wako kwani shida nini? Mabadiliko pia Huwa nayaletwa na watu wa mfumo Cha Msingi tu awe tayari kuyaleta , Mwabukusi anapigwa zengwe na Tulia . Full stop
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
I will hit you badly-Mwambukusi
 
Back
Top Bottom