Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,843
- 31,057
Naona weshaanza kuweweseka, Kwa Mwabukusi kurejeshwa Kwenye kinyang'anyiro Cha kugombea Urais wa TLS😀Naona wanataka kumtengenezea mizengwe baada kiunzi cha kwanza kukivuka salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona weshaanza kuweweseka, Kwa Mwabukusi kurejeshwa Kwenye kinyang'anyiro Cha kugombea Urais wa TLS😀Naona wanataka kumtengenezea mizengwe baada kiunzi cha kwanza kukivuka salama
1. Shida yako nini, na acha demokrasia yao ifanye kaziTunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.
Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?
Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.
Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Wana wa Adam hatuna wemaTunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.
Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?
Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.
Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Kabisa ndio maana wanakuja na mizengwe mingine dhidi yakeNaona weshaanza kuweweseka, Kwa Mwabukusi kurejeshwa Kwenye kinyang'anyiro Cha kugombea Urais wa TLS😀
Watu wanabadilika fasta balaa. 😀 😀 😀 😀Mara hii yashakuwa hayo?
Labda ndege mwarabu..!Kabila tena haha
Mwakibusi ni nyara ya yule ndege
Watoto wadogo mnachezewa akili
Kwanza kabisa, jina lake ni Mwabukusi.Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.
Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?
Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.
Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.
Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?
Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.
Someone from within will never change system, but system may change someone from within
First line ameandika MwambukusiKwanza kabisa, jina lake ni Mwabukusi.
Si Mwambukusi.
First line ameandika Mwambukusi
Fourth line ameandika Maambukusi,
Lets assume hii ni nyau.
Yani hajui hata jina, jina tu!First line ameandika Mwambukusi
Fourth line ameandika Maambukusi,
Lets assume hii ni nyau.
Wachumia tumbo nyinyi..mtakufa na makaa ya moto matakoni!..Ni mtu wa System huyo.
..Vilaza watupu.
Wachumia tumbo nyinyi..mtakufa na makaa ya moto matakoni!
Kwa hiyo sisi hatumjui Mwabukusi na hatuwajui hao wachumia tumbo, sivyo....wachumia tumbo ni watu wa System wanaoshirikiana kwenye ufisadi na Ccm.
Hata Mimi nashangaaMara hii yashakuwa hayo?
Kwani ameshashinda? Jifunze kuandika jina la watuTunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.
Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?
Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.
Someone from within will never change system, but system may change someone from within