Tushangilie ushindi wa TLS lakini tusitegemee mabadiliko TLS kupitia Mwambukusi; huyu ni mwanasystem kindakindaki

Tushangilie ushindi wa TLS lakini tusitegemee mabadiliko TLS kupitia Mwambukusi; huyu ni mwanasystem kindakindaki

Naona wanataka kumtengenezea mizengwe baada kiunzi cha kwanza kukivuka salama
Naona weshaanza kuweweseka, Kwa Mwabukusi kurejeshwa Kwenye kinyang'anyiro Cha kugombea Urais wa TLS😀
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
1. Shida yako nini, na acha demokrasia yao ifanye kazi
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Wana wa Adam hatuna wema
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Kwanza kabisa, jina lake ni Mwabukusi.

Si Mwambukusi.
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within

Si ungewaorodhesha wote wanamfumo ndugu kama ungependa kuaminika?
 
Tunaposhangilia ushindi wa Mwambukusi nakuona anafaa kuwa RAIS wa TLS tusitegemee jipya sana baada ya kuapishwa kuwa Rais wa TLs. Maambukusi ni zao la mfumo wa nchi kama alivyokuwa Hosea.

Tunachopaswa kushangilia ni kwamba mahakama imerejesha hoja kwa mawakili wa Tanzania kujitafakari kama kweli wanajitambua?

Hii imekuwa fedhea kwa uongozi wa TLS kwamba wanatumika na mfumo kumwajibisha mwanamfumo. Lengo la mfumo kuisambaratisha TLS limekamilika na sasa wamebaki kuangaika wapate mkate wa siku.

Someone from within will never change system, but system may change someone from within
Kwani ameshashinda? Jifunze kuandika jina la watu
 
Uchaguzi wa ajabu sana wakili atoke Bukoba au Mtwara aende kupiga kura Dodoma, safari siku 3! Na unaandaliwa na wanasheria
 
Back
Top Bottom