Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Kila kund la ulinzshirikish wapewe bunduki moja ya kuwamaliza Hawa panya road
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, Sheria si zipo Sheria zichukukue mkondo wake.Dawa ya hawa ni kuwaua kama polisi watakuwa serious
Hakuna cha sheria kwa hawa wapumbafu hawana faida yoyote hapa dunianiHapana, Sheria si zipo Sheria zichukukue mkondo wake.
Jina lenyewe tayari kisaikolojia inakuwa rahisi kuwaua!Dawa ya hawa ni kuwaua kama polisi watakuwa serious
Hmnaga sheria hapoHapana, Sheria si zipo Sheria zichukukue mkondo wake.
Kabisa kuliko waendelee kuwepoJina lenyewe tayari kisaikolojia inakuwa rahisi kuwaua!
Basi,mswaada upelekwe mjengoni ili tupate sheria ya kunyoosha panya rodi au,tusubiri siku wanaume wa Dar watakaposema basi.Hmnaga sheria hapo
Kama hawasiki dawa ni kunyooshwa
Ova
Pia kuna flame thrower gun nazo ni nzuri kwa panya,zinarusha moto kwa mbali hizi kwa kubanikia panya ndo zenyewe.Kuna kemikali unaweka kwenye chupa ya spray ukiirusha hakuna anayeona!! Naitafuta, lakini pia kuna umuhimu wa kuwa na taser, zile zinapiga shoti kali sana kwa mbali!! Napata wapi??
Tupeane maujanja Chief, hali ni tete!! Tunazipatia wapi??Pia kuna flame thrower gun nazo ni nzuri kwa panya,zinarusha moto kwa mbali hizi kwa kubanikia panya ndo zenyewe.
Bunduki mbali, wanaume watano tu kwenye mtaa,wenye mishale yenye sumu wanarahisishisha police kaziKila kund la ulinzshirikish wapewe bunduki moja ya kuwamaliza Hawa panya road
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sijui kama sheria inaruhusu kuziingiza but kwa njia ya panya unaweza.Tupeane maujanja Chief, hali ni tete!! Tunazipatia wapi??
Sijui kama sheria inaruhusu kuziingiza but kwa njia ya panya unaweza.
Check Amazon. Kwa panya zinafanya Kazi nzuri Sana hata waje elf moja
View attachment 2208499
View attachment 2208500
Sio udhaifu kuna kitu hakiko sawaHili la Panya road nami nitie neno.Kwa maoni yangu Kuna udhaifu mkubwa kwa jeshi la polisi.Inawezekanaje watu wajeruhi watu takribani 20 na hakuna aliyeshikwa hata mmoja??.Intelligensia ya Polisi Iko wapi? .
Ushauri Polisi waongeze Intelligensia na doria ili kuhakikisha wahusika wanatiwa mbaroni.
Hata local unaweza ukatengeneza ukiwa mtundu kwa fire extinguisher au mtungi wa gesiSheria zenyewe hizi zinasomwa ushakufa wakati wa risala!! Bora kujihami tu, jeshi na mamlaka vishashindwa