- Thread starter
- #61
Mkoa wa Dar es Salaam umejaa watu wakolofi na wenye kiburi.Makonda alijitahidi kwenda nao kihuni hivyo hivyo.Ukitumia busara pekee yake kwa Dar es salaam unafeli asubuhi kweupe mapema.namkumbuka pia Lukuvu alivyojiyahidi kuutuliza mkoa wa Dar kuheshimisha idara ya Ardhi.maana hapa Dar wapo wa aina zote.Matajiri sana na maskini sanaNajiliwaza na nini sasa katika hili?? Mi sijasema hawakuwepo, kwani Makonda alipata ukuu wa mkoa kipindi cha Nyerere??
Ukweli ni kwamba, yeye ndiye alitoa order kuwa akikamatwa kipanya na mzazi wake wote wawekwe ndani!! Wakati huo Kigogo imechafuka na tuliona wazazi waliokamatwa na makundi kupungua kwa kiwango kikubwa!!
Hata kama Makonda ana mabaya yake, hili ni jambo jema sana alilofanya!! Namsifia kwa hilo maana huyu Mkuu wa mkoa wa sasa keshafeli!