TUSHAURIANE VEMA HAPA

TUSHAURIANE VEMA HAPA

Hivi kwani kutembea na mdada is it that necessary kiasi kwamba muone ambaye hajatembea naye hana akili..??
Hivi kwani kutembea na mdada is it that necessary kiasi kwamba muone ambaye hajatembea naye hana akili..??
3 Yrs unahudumia tu tena karne hii bila kupiga hatua yeyote ile ? Sasa yeye kanufaika na nini maana huyo dada kanufaika na kuhudumiwa.
 
Ambacho nasubiria kusikia toka kwa Carleen ni kwamba, tukiondoa sex kwenye hayo mahusiano, huyo mdada ni value gani anaweza kuoffer kwenye hayo mahusiano kwa miaka 3?

Maana kwa kipindi hicho chote, mwanaume lazima ahudumie mwanamke wake,na kusimamia necessary costs zote
 
ya kufanya kwenye mahusiano ni mengi mno nadhani sex ilipaswa isiwe jambo la kupewa kipaumbele kiasi hiki..!!

yani niwe nahudumia namlisha, namvesha , nalipa kodi af iweje???

Labda tuu nikwambie, wanaume tunapambana na maisha ili tupate mahali pa kukojo.a
hata muanzisha mada baada ya kuona anahudumia af hapewi mnato ndio maana kafungua uzi.

Kaa ukijua, wanaume tuna Nye.ge muda wote na tunafanya kila tunachofanya kuhakikisha tunapata sex
 
Nilimpata nikiwa mwaka wa tatu yeye wa kwanza. 2019
Nilimwandaa ili nimuone akimaliza chuo 2022 lakini amekuwa akiniambia wazazi wake wamesema atulie kidogo. Sijamlamba hadi leo sijui nifanyeje maana namkubali
Endelea kutokumlamba usije babuka mdomo.
 
Kwa hiyo mjomba wangu utamaliza chuo bila K ya msomi? .Changamka/kaza matako wewe.
 
Kwahiyo unaamini huyo demu kakaa miaka mitatu bila kupigwa kobilo? Kweli wajinga ndio mil wao na mpo wengi sana nchi hii! Kwa kesi km hii tutaendelea kushuhudia watu wakijiua sana kisa mapenzi
 
Back
Top Bottom