Usinichambe na wewe kihivyo sasa ndio najua mi sura mbaya sasa nikijiita handsome najifariji nisije jinyonga bure..π€£ we niite tu handsome yaishe jikaze tu uniitee hakuna namna..!πππππ Mahandsome hawajisifugi hukooo...kiberenge
Wasafi ni kama maji.
TakaWasafi ni kama maji.
Huyu nae, utasema sijui maana ya forum sasa au? Okay anyways endelea na ujuaji wako Shabiki wa ZuchuJifunze maana ya forum kwanza ndio urudi na mahubiri yako.
Ndio maana upo hapa. Na hauna ujanja mbele ya Wasafi.Taka
Inategemeana na jinsi ambavyo unau define ujanjaNdio maana upo hapa. Na hauna ujanja mbele ya Wasafi.
Apo umepiga hesabu sawa? .. mbona naona ni ndefu sana zaidi ya hapo!Ok, si haba kakunja 500USD
Ndio maana upo hapa. Na hauna ujanja mbele ya Wasafi.
Nimeambiwa viewer elfu moja ni 0.5USD, sasa yeye kapata viewer 100M hapo atapata USD ngapi?Apo umepiga hesabu sawa? .. mbona naona ni ndefu sana zaidi ya hapo!
Sio kweliEstimated to 55+ millions
Ok, si haba kakunja 500USD
Mimi sijabadili kwenda madafu, nimebadili kwenda USD.Piga hesabu zako vizuri,
Views 100M+ upate 500 usd?
Views 1000 ni 0.5 usd kwa rate ya 2300 ni 1,150.
Hayo ni mahesabu ya views ambapo nina imani anavuta kwa %. Hizo kwa ujumla zitakuwa chini ya Wasafi yeye atapokea kulingana na mkataba wakeDuuuh Mikelele yote ya MISUKULE yake kumbe analamba 500USD tu?
Ni 50K USD MkuuMimi sijabadili kwenda madafu, nimebadili kwenda USD.
Kama views 1000 ni 0.5USD, je views 100M itakuwa USD ngapi?
Poa mkuuNi 50K USD Mkuu
Si kila viewers wanaongeza mshikoKwa hizo views 100M+,kaingiza milioni 67+Tshs.
WCB for lifeMkuu humu ni JF ,hata umlete Harmorapa uzi wake tutachangia ,hatuangalii sijui wasafi wala wachafu.
Wasafi for life!Inategemeana na jinsi ambavyo unau define ujanja
Mafanikio niliyonayo yananitosha kiasi mbatataa nkubwaMwenzio anazidi kufanikiwa wewe umebaki unaugulia roho mbaya yako na maisha yako magumu.